Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Asante sana wana JF.Naomba msaada,mwenzenu kila siku lazima nifanye mapenz ndio najisikia vizuri,hii inatokana na nini?Na zipi athar zake kiafya?Mama watoto wangu ni mvumilivu lakini nahisi ipo siku atachoka kuvumilia.Ninapomkosa huwa napiga PUNYETO mpaka bao 2 kwa siku ili kuondoa nyege.NAOMBENI USHAURI MADAKTARI KWANI HATA MIMI SIPENDI HII HALI IENDELEE.naona aibu kila siku!Naomba ushauri!
Nawasilisha mada!
Nawasilisha mada!