Mwenza wangu hapendi tendo la ndoa

Memtata

JF-Expert Member
Jul 27, 2013
552
1,800
Habari wakuu,

Leo nakuja na shida yangu hii labda mnaweza kunishauri. Mke wangu hapendi kufanya tendo la ndoa kabisa.

Miezi kadhaa baada ya kuoana alipata ujauzito na tabia hii ndipo nilipoanza kuiona nikajua labda kwasababu ya ujauzito. Alipojifungua na kupumzika mambo ni yale yale, hatufanyi hadi nianze mimi na kuna wakati namuomba anasema hayuko vizuri siku hiyo inapita kavu.

Nimewahi kumuuliza kwanini hajisikii, hana jibu zaidi ya kujibaraguza tu na kuacha lipite. Mwanzo wa ndoa aliwahi kuanzisha kuomba game nadhani alikuwa anatimiza funzo la somo ila kwa sasa daah!... Yani nikikaa kimya mimi hata mwezi unaisha bila kufanya lolote.

Kuna wakati nahisi kama nambaka maana naomba omba kila wakati alafu mwenzangu hana muitikio. Hapa naandika uzi huu amejilaza mwenyewe hana habari wakati tangu jumapili niliomba mchezo akanambia yupo kwenye siku zake hadi leo hata hashtuki kwamba naweza kupata tamaa ya kuchepuka.

Najiuliza ndivyo alivyoumbwa, anachepuka, ana jini mahaba au anajichua? Maana kuna siku nilimuona kama anaweweseka kitandani niliponyanyuka akashtuka sana.

Naomba maoni yenu kiutuuzima bila kejeli tafadhali.
 
Wanawake wakiolewa huwa wana tabia ya kuridhika na kuacha kutimiza mambo muhimu kama hayo.

Pili wanawake huwa wanakosa hisia ikiwa huwatimizii mahitaji yao..je hili likoje?.

Tatu ikiwa umeyumba kiuchumi pia huwa wanatabia kama hiyo...muda mwingi wanawaza na kuwa na stress.

Jambo muhimu..hebu jaribu kumtoa out, hakikisha anakula chochote na kunywa chochote akitakacho, uone mkirudi nyumbani kama atakunyima.
Mara nyingine wanaume tuwe wabunifu kwa hawa viumbe...miili yao husinyaa kwa vitu vidogo lkn pia huchangamka kwa vitu vidogo vya ubunifu.

ikishindikana👇👇👇

Kaa naye mweleze unavyojisikia...na umuonye kuwa tabia hiyo ikiendelea itakulazimu utafute. mwanamke mwingine.

Evelyn Salt TIA NENO HAPA PIA
 
Habari wakuu,
Leo nakuja na shida yangu hii labda mnaweza kunishauri. Mke wangu hapendi kufanya tendo la ndoa kabisa...
Umeandika jambo la msingi sana japo wengine wanaleta mizaha,lkn kwa wengi tulio ktk ndoa hili ni la kawaida sana...nadhani pia kwa kiasi kikubwa limechangia wanaume wengi kuchepuka japo si wote

Wanawake kabla hajaolewa hutamani sana ndoa na kipindi hicho hutamani sana mara kwa mara mpate chance mjiibe yaani mkiwa wachumba

Mkishaoana shida inakujaga kuanza akisha zaa moto baasi uvivu huanzia hapo,akiongeza wapili,watatu baasi kitandani ni mwendo wa kukimbiana na sababu nyingi za nimechoka,kesho nawahi kuamka nk...wakubwa wanasema mapenzi huamia kwa watoto

Hapa kimi ndipo nilipokuja gundua kwanini baadhi ya imani mwanaume huruhusiwa kuoa hadi wanne.

Ina maana toka enzi za mitume shida hii ilikuwepo...wakaona isiwe taabu,maana enzi hizo ukchepuka unauliwa....ikawa dawa ni kuongeza jiko...which is right lkn sikushauri ufanye hivyo.

Tuishi nao tu ndg tulee watoto...
 
Wanawake wakiolewa huwa wana tabia ya kuridhika na kuacha kutimiza mambo muhimu kama hayo.

Pili wanawake huwa wanakosa hisia ikiwa huwatimizi mahitaji yso..je hili likoje?.

Tatu ikiwa umeyimba kiuchumi pia huwa wanatabia kama hiyo...muda mwingi wanawaza na kuwa na stress.

Kaa naye mweleze unavyojisikia...na umuonye kuwa tabia hiyo ikiendelea itakulazimu utafute mwanamke mwingine.
Umenena Vizur kabisa, yani mule mule
 
Mke wako kama anatumia implant (kijiti cha mkononi) kwa ajili ya uzazi wa mpango mwambie akijtoe kwan sometimes huwa kina suppress libido kwa wanawake. Kile kipindi cha ujauzito alipokuwa hana hamu shida ilikuwa ni ys ki- hormone, so tafuta cause mzee, usimlaumu bure
 
Habari wakuu,

Leo nakuja na shida yangu hii labda mnaweza kunishauri. Mke wangu hapendi kufanya tendo la ndoa kabisa.
Hayo ni maumbile yake. Kama dini yako inaruhusu oa mke mwingine,la sivyo tafuta mchepuko kupunguza mfadhaiko. Kweli inakera kumla mtu ambaye hajisikii kuliwa ni sawa na kumbaka tu na pia hata wewe mwenyewe huwezi kupata ile satisfaction inayotakiwa. Nimeyapitia hayo.
 
Habari wakuu,

Leo nakuja na shida yangu hii labda mnaweza kunishauri. Mke wangu hapendi kufanya tendo la ndoa kabisa.

Miezi kadhaa baada ya kuoana alipata ujauzito na tabia hii ndipo nilipoanza kuiona nikajua labda kwasababu ya ujauzito. Alipojifungua na kupumzika mambo ni yale yale, hatufanyi hadi nianze mimi na kuna wakati namuomba anasema hayuko vizuri siku hiyo inapita kavu.

Nimewahi kumuuliza kwanini hajisikii, hana jibu zaidi ya kujibaraguza tu na kuacha lipite. Mwanzo wa ndoa aliwahi kuanzisha kuomba game nadhani alikuwa anatimiza funzo la somo ila kwa sasa daah!... Yani nikikaa kimya mimi hata mwezi unaisha bila kufanya lolote.

Kuna wakati nahisi kama nambaka maana naomba omba kila wakati alafu mwenzangu hana muitikio. Hapa naandika uzi huu amejilaza mwenyewe hana habari wakati tangu jumapili niliomba mchezo akanambia yupo kwenye siku zake hadi leo hata hashtuki kwamba naweza kupata tamaa ya kuchepuka.

Najiuliza ndivyo alivyoumbwa, anachepuka, ana jini mahaba au anajichua? Maana kuna siku nilimuona kama anaweweseka kitandani niliponyanyuka akashtuka sana.

Naomba maoni yenu kiutuuzima bila kejeli tafadhali.
Ushauri wa bure: ili mwanaume uishi kwa amani na furaha kwenye ndoa ni vyema ukawa na michepuko miwili visu kweli kweli alafu hakikisha mkeo anawajua hao michepuko na pia anatambua kuwa yeye ndio number one priority basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom