KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
akhsante Mwenyezi MUNGU kwa kumleta doctor kikwete kwa kuja kupandikiza kansa ambayo inaimaliza taratibu magamba. Allihamdulilaah
kama ni rubishi, wanaotakiwa kuitwa rabish ni star tv, kwani ndio walimwonesha akisema maneno kwenye hints zao 16:00hrs. Kilichonishangaza, ni habari kutorushwa saa mbili kamili ambapo mie nilijiandaa kusikiliza kwa makini hali iliyosababisha nisitune chanel nyingine. Kama itakuwa ni uzushi, basi star tv, waombe radhiNimeongea na Mkiti wa vijana wa ccm mkoa wa Tabora sasa hivi habari hizo si kweli ni uzushi wa hali ya juu anaye bisha aseme nimpe namba ya kamoga ambae ndie mkiti wa mkoa aongee nae. rubish !
Nepi ndo nani?Nepi aje ...........
Leo saa kumi jioni Star Tv kwenye kipindi chake cha 'Vidokezo vya Habari' kumetokeza habari kwamba Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Tabora amejiunga na Chadema.
Ama kweli M4C inashika kasi kubwa.
Tunamsubiri mpendwa wetu Nape Nauye ambaye ameshindwa kututhibitishia hapa JF uanachama wake wa ccm. Cross the floor and welcome Nape.CDM is your sweet home!
Leo saa kumi jioni Star Tv kwenye kipindi chake cha 'Vidokezo vya Habari' kumetokeza habari kwamba Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Tabora amejiunga na Chadema.
Ama kweli M4C inashika kasi kubwa.
Tunamsubiri mpendwa wetu Nape Nauye ambaye ameshindwa kututhibitishia hapa JF uanachama wake wa ccm. Cross the floor and welcome Nape.CDM is your sweet home!
Kila kona habari ndi hiyo hiyo.
hiki Chama Cha Mafisadi kinakufa asilani. hakuna wa kzuia anguko la CCM.