SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
- Thread starter
- #41
Embu tupeni jina la huyo kijana aliyeamua kuvua magamba na kuvaa gwanda?
Bahati mbaya jina la huyo mwemyekiti lilinitoka wakati napost hiyo habari. Hebu atokee mwanaJF wa Tabora atujulishe. Yap! Kuna shardcole. Eti shardcole huyo cheamen wa uvccm tabora aitwa nani?