Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria, George Mandepo awekwa wakfu kuwa Shemasi

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Sep 25, 2014
2,880
4,883
Miezi kadhaa iliyopita Rais wa JMT alimteua George Nathanael Mandepo kuwa Katibu mtendaji wa tume ya kurekebisha sheria. Leo tarehe 25 January baba Askofu wa Kanisa Anglikana Tanzania dayosisi ya Dar es salaam Rev Jackson Sosthenes Jackson amemuweka Wakfu Adv Mandepo kuwa Shemasi (mchungaji)

Mamdepo ambaye ndiye msajili wa kanisa Anglikana Tanzania ananingia katika historia ya kuwa msajil na pia mchungaji.

Hongera sana Rev Adv George Mandepo

1706209080713.jpg
 
Hata prof Kabudi ni Canon wa kanisa Anglican na alipewa wadhifa huo alipokuwa msajili wa kanisa miaka ya nyuma.

Ila huwa kuna course chache za kiutumishi unapitia kidogo ili uwe na maarifa mtambuka ya kihuduma kabla ya kutunukiwa daraja flani la kichungaji.
 
Miezi kadhaa iliyopita Rais wa JMT alimteua George Nathanael Mandepo kuwa mwenyekiti wa tume ya kurekebisha sheria. Leo tarehe 25 January baba Askofu wa Kanisa Anglikana Tanzania dayosisi ya Dar es salaam Rev Jackson Sosthenes Jackson amemuweka Wakfu Adv Mandepo kuwa Shemasi (mchungaji)

Mamdepo ambaye ndiye msajili wa kanisa Anglikana Tanzania ananingia katika historia ya kuwa msajil na pia mchungaji.

Hongera sana Rev Adv George Mandepo

Je, atakuwa upande wa matakwa ya Mungu ambayo ni haki au matakwa ya CCM ambayo ni dhuluma?
 
Kwenye dini yetu hii...ukiwa na pesa au cheo..unakuwa mtakatifu automatically.
Masikini jitafakarini...
Hizi akili huwa mnazipata wapi lkn mbona inaonekana kabisa mna IQ ndogo sana. Hivi na nyie kuna watu wanapata muda wanawasikiliza kabisa
 
Hivi shemasi ndio mchungaji??
Ndiyo. Ni daraja katika uchungaji.

Baada ya shemas then atakua kasisi. Akiwa shemasi kuna baadhi ya sakrament hafanyi nafikiri ya ndoa hawez kuifanya. Baada ya hapo anakua kasisi.

Nilisoma shule ya kianglikana enzi hizo nilipenda sana hawa jamaa namna wanavyoendesha mambo yao
 
Hata prof Kabudi ni Canon wa kanisa Anglican na alipewa wadhifa huo alipokuwa msajili wa kanisa miaka ya nyuma.

Ila huwa kuna course chache za kiutumishi unapitia kidogo ili uwe na maarifa mtambuka ya kihuduma kabla ya kutunukiwa daraja flani la kichungaji.
Kwenye kanisa kuna Ley Canon na Rev Canon.

Huyo Ley anatoka ktk nyumba ya washauri. Yani yeye sio mchungaji kwa hyo hauhusiki kabisa na huduma za kichungaji. Yeye ni mshauri wa Askofu ambaye si mchungaji. Hapo ndipo akina Kabudi walikokuwa.

Lkn Rev huyu lazima awe mchungaji. Kwa hyo hii ni ngazi ktk huduma ya kiroho. Kwa hyo Rev anavaa kola lkn Ley havai kola.

Alichokifanya Mandepo ameingia kwenye huduma ya kichungaji kwa hyo anavaa kola
 
  • Thanks
Reactions: K11
Miezi kadhaa iliyopita Rais wa JMT alimteua George Nathanael Mandepo kuwa Katibu mtendaji wa tume ya kurekebisha sheria. Leo tarehe 25 January baba Askofu wa Kanisa Anglikana Tanzania dayosisi ya Dar es salaam Rev Jackson Sosthenes Jackson amemuweka Wakfu Adv Mandepo kuwa Shemasi (mchungaji)

Mamdepo ambaye ndiye msajili wa kanisa Anglikana Tanzania ananingia katika historia ya kuwa msajil na pia mchungaji.

Hongera sana Rev Adv George Mandepo

Mandepo ahakikishe sheria za nchi zinakuwa zenye haki na katiba mpya inapatikana mapema la sivyo ni dhambi na kufuru tupu kwa yeye kuwa shemasi.
 
Back
Top Bottom