Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,375
- 6,516
Mwenyekiti wa taasisi ya Imamu Bukhary Sheikh Kahalifa Khamisi anashikiliwa na polisi kwa mahojiano kutokana na press conference ya juzi.
Polisi wanataka kujua kwanini aliunga mkono kauli ya Lowassa na pia kwanini aliwataka Waislamu wote nchini kuungana kutetea haki za waislamu waliopo Magereza.
Mbona majibu ya maswali ya polisi kama yapo wazi. Sababu ni yeye kuwa muislamu, na Lowassa aliongelea uislamu, wale walioko magerezani baadhi yao ni waislamu, halafu basis ya majibu haya atawaambia ndivyo Quaran tukufu na mafundisho ya Mtume Muhammad yanavyoelekeza. Sasa polisi wakitakakwenda mbele zaidi inabidi waishambulie basis ya kauli zake kitu ambacho ni kigumu kwa secular government.