April 2014 kwenye bunge la katiba, Tundu Lissu alitoa mashambulizi makali sana kwa baba wa taifa Mwl Nyerere. Moja ya mashambulizi hayo ni madai kuwa mwalimu alizoea vya kunyonga, hivyo asingeviweza vya kuchinja.
Mashambulizi hayo yaliwaudhi baadhi ya watanzania, akiwemo mzee Mtei aliyelazimika kutoa karipio kali kwa Lissu na kuonya kuwa iwe mwiko kwa mwanachadema kumtukana mwalimu.
2014 Mtei hakuwa kiongozi wa Chadema, hilo karipio alilitoa kwa mamlaka gani aliyonayo?
Karipio lenyewe hili hapa:
"Nimekuwa na mawasiliano na maelewano mazuri sana na Mwalimu hata baada ya kuasisi CHADEMA, Julai 1992 na tulipokamilisha Katiba na Sera za Chadema, nilimtembelea Nyumbani kwake Butiama nikampa azisome ajionee jinsi tulivyonuia kuwahudumia Wananchi wetu. Hata siku moja siwezi kumtusi Muasisi wa Taifa letu. Iwe ni mwiko pia kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kumtusi Baba wa Taifa".
Mashambulizi hayo yaliwaudhi baadhi ya watanzania, akiwemo mzee Mtei aliyelazimika kutoa karipio kali kwa Lissu na kuonya kuwa iwe mwiko kwa mwanachadema kumtukana mwalimu.
2014 Mtei hakuwa kiongozi wa Chadema, hilo karipio alilitoa kwa mamlaka gani aliyonayo?
Karipio lenyewe hili hapa:
"Nimekuwa na mawasiliano na maelewano mazuri sana na Mwalimu hata baada ya kuasisi CHADEMA, Julai 1992 na tulipokamilisha Katiba na Sera za Chadema, nilimtembelea Nyumbani kwake Butiama nikampa azisome ajionee jinsi tulivyonuia kuwahudumia Wananchi wetu. Hata siku moja siwezi kumtusi Muasisi wa Taifa letu. Iwe ni mwiko pia kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kumtusi Baba wa Taifa".