Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Kumbe makamu wa rais kwenye ziara ya kiserikali kazi yake kuwapa kadi wanachama wapya? Kama ndio hivyo tutaendelea kuwa maskini kwa muda mrefu kama hatutachukua hatua ya kubadilisha hali hii/mfumo huu yaani kukiua ccm.