Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Nachingwea ajiunga na CCM

Tusimlaumu, katumia haki yake ya uhuru wa kidemokrasia kuhamia ccm, huenda ameona ndipo anaweza kutimiza ndoto yake.

Ninachosubiri ni kupata uthibitisho kama kweli alikuwa ni mwenyekiti, maana siku hizi kila anayeondoka chadema kwenda ccm anajitafutia cheo cha kuondokea.
Mwita, si kwamba analaumiwa, ni kitendo hicho kuhudhuriwa na makamu wa Rais na kupiga picha akiwa na kadi ya chama chenu iliyorudishwa, kwahiyo ina maana walitaka issue ijadiliwe.

Jambo hilo kupewa uzito na wenye vyeo, ndilo linapelekea hisia za cheo, so usishangazwe mkuu, huyo yuko kibinafsi, anawatumia magamba na gamba wanamtumia.
 
Mbona huyu jamaa anaonekana kama afya yake ni utata? nadhani ameenda kurekebisha afya kwa wali maharage wa kampeni....kweli njaa ni mwanaharamu.
 
Mbona huyu jamaa anaonekana kama afya yake ni utata? nadhani ameenda kurekebisha afya kwa wali maharage wa kampeni....kweli njaa ni mwanaharamu.

Amechoka mbaya Kama aliyekabidhiwa kadi,Bilal..tena afadhali yeye anaweza kujitetea uchumi mbovu...bilal nadhani nguvu Inapotelea kuhudumia wake zake vijana na umri tena...
 
Amekabidhiwa kadi ya ccm na makam wa rais Mohamed Ghalib Bilal.
Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyesha kadi ya CHADEMA baada ya kukabidhiwa na Hassan Mkope (kulia) aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa Wilaya ya Nachingwea, aliyeamua kujiengua na kujiunga na CCM. Makamu ameanza ziara yake katika Mkoa wa Lindi jana januari 20.

source:mjengwa na michuzi blogs

Kibabu kimechoka hata ukimtupia mbwa hali, huyo mkabidhi kadi naye ndiyo wale wale afya mgogoro kutwa nzima kutembea na mkasi kufungua miradi hata ya Tsh 50,000/- ovyo kabisa magamba.

 
Huyu mzee katumia haki yake kikatiba, uhuru wa kuchagua!! Nina wasiwasi kama Makamu wa Rais ni wadhifa sahihi (kutoka serikalini) kujihusisha na propaganda kama hizi. Tujifunze kuwa viongozi wa ngazi za juu kufungua mradi wa matundu 3 ya vyoo, kukabidhiwa kadi moja, nk si mambo yanayolingana na uzito wa nyadhifa zao. Gharama za watu wote kuacha kazi zao na kuhudhuria upokeaji wa kadi moja ni kupoteza rasilimali ya umma.
 
Niliwahi kuwaambia humu JF baada ya Bunge tutaona vigogo wa Magwanda wakiondoka, wakanishutumu, wakanikejeli, sasa naona hawataki hata kuikumbusha ile nyuzi, maana mimi nilifikiri watakuwa wawili watatu, lakini sasa naona ni makundi kwa makundi. Maaaweeee!

Faiza tafadhali,
Hivi kweli mwenyekiti wa Nachingwea anaweza kuwa mmoja wa vigogo wa magwanda? I know you're just kidding.
 
Mimi namshangaa Bilal kutumia ziara ya kiserikali kwa shuguli za chama ameyumba. huyo mwenyekiti mwache aondoke kama ni mamluki hasaidii chama.
 
Amekabidhiwa kadi ya ccm na makam wa rais Mohamed Ghalib Bilal.
Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyesha kadi ya CHADEMA baada ya kukabidhiwa na Hassan Mkope (kulia) aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa Wilaya ya Nachingwea, aliyeamua kujiengua na kujiunga na CCM. Makamu ameanza ziara yake katika Mkoa wa Lindi jana januari 20.

source:mjengwa na michuzi blogs

Hii ndiyo demokrasia ya vyama vingi na haki ya raia ya kujiunga na chama anachotaka.

Lakini turudi kwenye kusudi la mtoa hoja. Nachingwea ina nafasi gani katika siasa za Tanzania kwa CHADEMA? CHADEMA walipata kura ngapi huko Nachingwea katika uchaguzi uliopita? Kama kura zilikuwa ni kidogo basi this is not a big loss for them.
 
Amekabidhiwa kadi ya ccm na makam wa rais Mohamed Ghalib Bilal.
Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyesha kadi ya CHADEMA baada ya kukabidhiwa na Hassan Mkope (kulia) aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa Wilaya ya Nachingwea, aliyeamua kujiengua na kujiunga na CCM. Makamu ameanza ziara yake katika Mkoa wa Lindi jana januari 20.

source:mjengwa na michuzi blogs

Nachingea sawatu nilifikiri karatu
 
Mwaka mbaya kwa Magwanda...
Tunataka watu wanaokifanyia kitu chama, sio wanaotaka chama kiwafanyie kitu. Majembe hayayumbishwi na migration ya wanachama/viongozi. Alitoka Kafulila chama hakikuyumba itakuwa huyu wa Nachingwea??
 
Back
Top Bottom