Mtoto Wa Mbale
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 457
- 300
Niliwahi kuwaambia humu JF baada ya Bunge tutaona vigogo wa Magwanda wakiondoka, wakanishutumu, wakanikejeli, sasa naona hawataki hata kuikumbusha ile nyuzi, maana mimi nilifikiri watakuwa wawili watatu, lakini sasa naona ni makundi kwa makundi. Maaaweeee!
SS (aka FF), huyo naye ni 'kigogo'? Hii wanayotumia magamba ni mbinu ya kizamani sana, wacha waendelee kuwahonga hao mnaowaita 'vugogo', lakini hamtaweza kamwe kuwahonga wananchi wenye hasira na mafisadi na serikali ya wasanii wa ccm.
Ni vigumu kumshawishi mtanzania kwa hoja kuwa ccm inastahili kuwa madarakani, jiandaeni kukaa pembeni.