Mwenyekiti wa CHADEMA Mwanza ahamia CCM

Mwenyekiti wa CHADEMA Mwanza ahamia CCM

Aah chadema kanda ya ziwa imefutika bado hapo kwa akina chacha viva jk viva... magu...
 
Huyu si ni ndugu yake na yule Tizeba mwingine ambaye ni Mbunge wa Buchosa CCM? Inawezekana kamaliza kazi yake: Kuhakikisha CHADEMA hawamshindi ndugu yake huko Buchosa.....!
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mwanza, Bw.Adrian Tizeba ahamia CCM na kupokelewa tawi la Lugata, Sengerema, ikiwa ni wiki moja tu tokea avue sare za migambo.

Chanzo: Mwananchi.
YAANI N MAFALA HUMU KWANINNI

JAMAA ANAMWAKA ALISIMIMASHWANAKISUBIRIA NEEMA YA KURUDI....MNAHISI ATAENDA WAPI ACT
 
Huyu si ni ndugu yake na yule Tizeba mwingine ambaye ni Mbunge wa Buchosa CCM? Inawezekana kamaliza kazi yake: Kuhakikisha CHADEMA hawamshindi ndugu yake huko Buchosa.....!
Walipigana na mdogo wake ambaye ni mbunge bwana tizeba pale mwanza hotel, naona ukoo umekaa na kuamua tizeba mkubwa(mwenyekiti wa chadema) arudi ccm
 
YAANI N MAFALA HUMU KWANINNI

JAMAA ANAMWAKA ALISIMIMASHWANAKISUBIRIA NEEMA YA KURUDI....MNAHISI ATAENDA WAPI ACT
Hajawahi kufukuzwa,bali alijiondoa mwenyewe wiki iliyopita...baada ya kuona chama kimevaa gamba.
 
Huyu si ni ndugu yake na yule Tizeba mwingine ambaye ni Mbunge wa Buchosa CCM? Inawezekana kamaliza kazi yake: Kuhakikisha CHADEMA hawamshindi ndugu yake huko Buchosa.....!
Si sahihi,kwahiyo unamaanisha luwasa yupo na kazi maalum akimaliza aondoke?
 
hatimaye sasa kila mtu anatambua kua chadema ni wasanii
 
Kuhama chama hata sumaye kahama sembuse huyu kisumbuchi
 
Back
Top Bottom