Mwenyekiti wa CHADEMA Mwanza ahamia CCM

Mwenyekiti wa CHADEMA Mwanza ahamia CCM

Vituko vya bongo haviishi jamani. Yaani tena CCM imeanza kutumia oil chafu. Nape Mh. njoo huku Mwanza, oil chafu imeanza kuingilia chamani mheshimiwa sana. Naona mrithi wako haijui kazi
 
YAANI N MAFALA HUMU KWANINNI

JAMAA ANAMWAKA ALISIMIMASHWANAKISUBIRIA NEEMA YA KURUDI....MNAHISI ATAENDA WAPI ACT
Pamoja na kusimamishwa lakini alishiriki kwa 100% kwny kampeni za mwaka 2015 akimnadi mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CDM ndg Martin Kaswahili pamoja na madiwani lakini kwa bahati mbaya wakaangukia pua, huku mdogo wake ambae ni mbunge wa jimbo hilo tangu mwaka 2010 Dr Charles Tizeba akifanikiwa kupata ushindi wa kishindo na kuzoa madiwani kata zot
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mwanza, Bw.Adrian Tizeba ahamia CCM na kupokelewa tawi la Lugata, Sengerema, ikiwa ni wiki moja tu tokea avue sare za migambo.

Chanzo: Mwananchi.
Mwache aende kwetu magumashi ila ccm yapo kama LUGUMI
 
Jana niliona magari ya matangazo yakitangaza kua kutakua na mkutano mkubwa sana wa siasa Iringa mjini. Mchungaji Msigwa angehutubia. Mpaka sasa sijaona hata picha moja ya mkutano ikirushwa kwenye wall ya mchungaji Msigwa wakati si kawaida yake kabisa sijui nn kilijiri
 
Jana niliona magari ya matangazo yakitangaza kua kutakua na mkutano mkubwa sana wa siasa Iringa mjini. Mchungaji Msigwa angehutubia. Mpaka sasa sijaona hata picha moja ya mkutano ikirushwa kwenye wall ya mchungaji Msigwa wakati si kawaida yake kabisa sijui nn kilijiri

Chadema kila mtu kambale...!
 
Back
Top Bottom