mtayeshelwa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,170
- 390
Hahaaha Yaani wewe umeona LUGUMI ndiyo kick ya kutokea, kwa taarifa awe nje ya nchi au awe ametoroka atatafutwa kokote aliko kama atahitajika.Huyu siyo mzee Msoga cha msingi jiandaeni na fisadi wenu Lowassa kuingizwa lupango punde mahakama itakapokamilika.Vip mkuu lissu ameisha jihuzuru ubunge.Hivi Lugumi bado yupo tanzania au kesha sepa?