Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,006
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mwanza, Bw.Adrian Tizeba ahamia CCM na kupokelewa tawi la Lugata, Sengerema, ikiwa ni wiki moja tu tokea avue sare za migambo.
Chanzo: Mwananchi.
Chanzo: Mwananchi.