Mwenyekiti wa CHADEMA Mwanza ahamia CCM

Mwenyekiti wa CHADEMA Mwanza ahamia CCM

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,505
Reaction score
16,006
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mwanza, Bw.Adrian Tizeba ahamia CCM na kupokelewa tawi la Lugata, Sengerema, ikiwa ni wiki moja tu tokea avue sare za migambo.

Chanzo: Mwananchi.
 
Mliitaka wenyewe
sasa mnaisoma namba.
1460717791104.jpg
 
Chadema ipo na itaendelea kuwepo, kila mtu ana chaguo lake tunamtakia kila la heri huko aendako, ajifunze tu kujiheshimu hasa kiungo mdomo.
Na kila anayeiombea mabaya lazima yamrudie yeye mwenyewe
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mwanza, Bw.Adrian Tizeba ahamia CCM na kupokelewa tawi la Lugata, Sengerema, ikiwa ni wiki moja tu tokea avue sare za migambo.

Chanzo: Mwananchi.
Mbona huyo unayemwita m/kitI wa CHADEMA Mwanza sawa na heading yako alifukuzwa kwenye uongozi karibu mwaka mzima uliopita!!
 
Sisi wenye chama chetu tunachekelea tu. walete walete. Tunaanza kukusanya mtaji wa 2020
 
Hivi Lugumi bado yupo tanzania au kesha sepa?
Huyu Lugumi ameacha file lake la mkataba kwa Said MtuMwema,ambapo MtuMwema atamkabithi kachero Vale Mlioliwa Kuchunguza.
 
Huyu Lugumi ameacha file lake la mkataba kwa Said MtuMwema,ambapo MtuMwema atamkabithi kachero Vale Mlioliwa Kuchunguza.
Hapo ni kizungu zungu tupu,tutasikia hilo faili limeshaliwa na mchwa
 
Ushaambiwa "ALIYEKUWA"...

Huyu alisimamishwa zamani sana na Slaa...

Hakuwa na kazi ya kufanya ni vizuri kama CCM wamempa mchongo!
 
Back
Top Bottom