Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,314
- 5,523
Sugu huyu huyu anayepuliza jani la Njombe!
Kama owner wa Desderia na mbunge kwa miongo mitatu ni mpuliza hiyo kitu nakushauri na wewe upulize haswa............. maana akili yake ni zaidi
Sugu huyu huyu anayepuliza jani la Njombe!
mbowe hana njaa kama we lumumbaKapata sababu ya kula ruzuku kwa safari.Kaenda kutalii Mbeya kwa kisingizio cha kesi ya Sugu wakati yeye si wakili anaenda kukodoa tu macho mahakamani halafu huyo anaenda kulewa na kujirusha na vimwana
Kaua au? Hawana jeuri iyo haoCcm wametoa maelekezo afungwe kifungo kirefu
Umeandika ukweli mtupu! Kungekuwa na double likes ningekugongea.Naichukia ccm.
Nawachukia pia wanao iunga ccm.
Umaskini wote huu ni ccm.
Watu kuto jitambua ni ccm.
Ccm wame wainamisha vichwa watu kaa mateka.
Chini ya ccm umasikini hauto isha.
Yaani ccm nawachukia nasitokaa nitoe Masada wa aina yoyote ile kwa jitu la ccm,hasa hawa wasomi waliopo ccm maana wao wanaijua kweli ila kwa njaa zao huunga mkono upuuzi ambao hufanyanya kina kajambanani waendelee kuwa ma ndondocha.shithole in did.
Mkuu basi tuu huwa naumia sana hii nchi.nanaumia Sana kuona hasa wasomi waki wasaliti masikini.Umeandika ukweli mtupu! Kungekuwa na double likes ningekugongea.
Hasa watanzania yani sisi niminafiki haina mfano.Binadamu hakosi la kusema asingeenda ungesema kamtupa. Kwani kauli ya kutoka Dar hadi Mbeya ni hela nyingi sana?
Are u sure?Kapata sababu ya kula ruzuku kwa safari.Kaenda kutalii Mbeya kwa kisingizio cha kesi ya Sugu wakati yeye si wakili anaenda kukodoa tu macho mahakamani halafu huyo anaenda kulewa na kujirusha na vimwana
Si kashiba ruzuku atakuwaje na njaa unauliza kama Dodoma kuna wagogo?mbowe hana njaa kama we lumumba
Sawa kaka nime kuelewa ila hakika na kwambia,napenda ukweli kuliko unafiki.Yadi unachukia uzima wako ccm ni uzima wako. Leta hoja siyo chuki kila mtu ana haki yake kuamini chama anachokipenda
Some time huwa nawaza hawa jamaa huwa wapo siliaz au vipi?Tanzania yenyewe aijawai kuwa uzima wangu.itakuwa ccm?.hivi huu UZEZETA UTAWATOKA LINI?
Shetani hajawahi kumshinda Mungu .
Thibitisha ilooukuta ndo ilikuwa mwarobaini wa huu upuuzi,na kinachotokea ni sugu kufungwa au kuhenyeshwa rumande kama lema,kitu ambacho hamjui ni hiki ccm inatest sehemu ambazo ni ngome ya upinzani wakiona Hamna reaction yeyote basi wana uhakika wa kufanya chochote ndo maana walianzia arusha kwa lema,baada ya kuona au kumaliza nguvu ya cdm arusha ,wamekuja mbeya mjini na wameshaona hamna chochote cha kuwazuia ,hata uchaguz ujao wana uhakika wa kuchakachua matokeo na hakuna mtu wa kuandamana,ni kama walivyofanya arusha ,baada ya sugu atafuatia msigwa then heche ,nyie subirini mtaona
we kweli harufu za vyoo vya Lumumba zimekuathiri maana ww n mpiga deki wa afisi kuu za LumumbaSi kashiba ruzuku atakuwaje na njaa unauliza kama Dodoma kuna wagogo?
ukuta ndo ilikuwa mwarobaini wa huu upuuzi,na kinachotokea ni sugu kufungwa au kuhenyeshwa rumande kama lema,kitu ambacho hamjui ni hiki ccm inatest sehemu ambazo ni ngome ya upinzani wakiona Hamna reaction yeyote basi wana uhakika wa kufanya chochote ndo maana walianzia arusha kwa lema,baada ya kuona au kumaliza nguvu ya cdm arusha ,wamekuja mbeya mjini na wameshaona hamna chochote cha kuwazuia ,hata uchaguz ujao wana uhakika wa kuchakachua matokeo na hakuna mtu wa kuandamana,ni kama walivyofanya arusha ,baada ya sugu atafuatia msigwa then heche ,nyie subirini mtaona
Kauli za kishetani kabisa hizi, ila maandiko yanasema; 'maneno ya wana wa ibilisi hujaa kiburi na jeuri kama baba yao Ibilisi lkn mwisho wao ni anguko lililo kuu'Hadi miezi 4 ifike ndio Sugu atatoka nje
Sugu kaachiwa?Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe Freeman A. Mbowe, leo J/tano 24/01/2018 amefika Mahakama ya Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya kusikiliza kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya mjini, Mhe. Joseph Mbilinyi na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga.
View attachment 683498