Hahaaa hyo ndio maana ya transparency kwenye uchaguzi, mtu ka gwajima haamini macho yake
Kwamba Magufuli ameuchoka urais au?Tunataka hata kura za uchaguzi mkuu October 28 kura zote kila jimbo zihesabiwe kwa uwazi namna hii kama alivyoolekeza mwenyeketi wa CCM.
Wamevuna walicho kipanda maana wamepanda chuki na matusi wakati wakihama kutoka cdmHapana kaka, hili limetudhalilisha na kutufedhehesha sana.....yaani number ya kiatu igeuke iwe ndiyo idadi ya kura no no no no....!!
Muda wa kuipata haupo kwa sasa bali tuombe kura zihesabiwe pia kituoni na majibu tupewe peupe kuondoa malalamiko na mafindofindo
Tunataka hata kura za uchaguzi mkuu October 28 kura zote kila jimbo zihesabiwe kwa uwazi namna hii kama alivyoolekeza mwenyeketi wa CCM.
Wewe si mwana CCM....tuache!!
Nimekuelewa mkuuHapana kaka, kugombea ni haki ya kila mwanachama....sasa kitendo cha kutangaza hata sisi wa zero, 1, 2 hadi 6 ni aibu. Haya ni majibu ya tezi dume jamani.
Miaka ya nyuma tulikuwa tunatangaza watatu tu wa mwanzo ilikuwa inatosha ili kukilinda chama.
Je mawakala hawatanunuliwa au hawataondoshwa vituoni wakati wa kuhesabu kura?Muda wa kuipata haupo kwa sasa bali tuombe kura zihesabiwe pia kituoni na majibu tupewe peupe kuondoa malalamiko na mafindofindo
Huyo naye atulie Sasa kapoteza ushawishi wake kwa jamii na hii mikaganyiko ya siasa, badala aombe kura anainanga CDMHuyo hapo alivyo yapokea matokeo yake pale kaweView attachment 1514086
Nimeisoma, kukosa kura au kupata kura chache kama kura moja au mbili au tatu, ndio kipimo cha uadilifu, kuwa hukutoa rushwa.Pascal Mayalla aisome hii
Huyo naye atulie Sasa kapoteza ushawishi wake kwa jamii na hii mikaganyiko ya siasa, badala aombe kura anainanga CDM
Ama unakua umetoa ila waliopokea wakaenda na kaulimbiu ya "Pesa chukua na mchinjie baharini"Nimeisoma, kukosa kura au kupata kura chache kama kura moja au mbili au tatu, ndio kipimo cha uadilifu, kuwa hukutoa rushwa.
P
Sikuhizi kila mtu ana mdharau tu asifikiri kipindi ana mashabiki wengi enzi za ukawa na Sasa ni sawa, atulie kimya na ile video ndio imeharibu haswaKati ya makosa makubwa aliyo yafanya ndio hilo