Moja kwa moja kwenye mada; kitendo cha Mwenyekiti wetu kusema kura zote ziwe za wazi na zote zitangazwe hadharani kweli kimetuumbua makada wengi mno.
Sasa mtaani hatuna amani kila ukipita unasikia 4 mara 2 mara zero. Kwa kweli Mwenyekiti wetu tunakupenda sana ila kwa hili umetuumbua sana sisi makada wenzako wa CCM.
Hatuna raha huku mtaani tafuta namna utusafishe walau useme hizo kura si kigezo cha kukubalika ndani ya chama bali yalikuwa ni majaribio tu.
Ni ombi tu Mwenyekiti wetu kama itakupendeza. Ni mimi kada nwaminifu wa kawe niliyepata kura 2.
Sasa mtaani hatuna amani kila ukipita unasikia 4 mara 2 mara zero. Kwa kweli Mwenyekiti wetu tunakupenda sana ila kwa hili umetuumbua sana sisi makada wenzako wa CCM.
Hatuna raha huku mtaani tafuta namna utusafishe walau useme hizo kura si kigezo cha kukubalika ndani ya chama bali yalikuwa ni majaribio tu.
Ni ombi tu Mwenyekiti wetu kama itakupendeza. Ni mimi kada nwaminifu wa kawe niliyepata kura 2.