bepari la kichaga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 519
- 503
Waya wa simu duh
Watanzania tuko very mobile.Shinyanga wanaishi wakurya!!!
Mwenyekiti wa Chama Cha Waendesha Pikipiki maarufu kama bodaboda manispaa ya Shinyanga Jacob Paul (36) amejiua kwa kujinyonga kwa kutumia waya wa simu chumbani kwake katika mtaa wa Mwinamila kata ya Ngokolo katika manispaa ya Shinyanga.
What if it is a staged thing and that he was Killed?NEWS ALERT!
Mwenyekiti wa Chama Cha Waendesha Pikipiki maarufu kama bodaboda manispaa ya Shinyanga Jacob Paul (36) amejiua kwa kujinyonga kwa kutumia waya wa simu chumbani kwake katika mtaa wa Mwinamila kata ya Ngokolo katika manispaa ya Shinyanga.
Tukio hilo limetokea leo Jumamosi June 10,2017 mchana.
Tukio hili limetokea siku tano tu baada ya kutokea vurugu kati ya waendesha bodaboda na polisi baada ya mwendesha bodaboda mwenzao kufariki baada ya kukamatwa na askari wa usalama barabarani.
Mtoa mada huo ni uchochezi kuunganisha kifo chake na mgogoro wa waendesha bodaboda na Polisi traffic tukio lilitokea siku tano kabla ya kifo.NEWS ALERT!
Mwenyekiti wa Chama Cha Waendesha Pikipiki maarufu kama bodaboda manispaa ya Shinyanga Jacob Paul (36) amejiua kwa kujinyonga kwa kutumia waya wa simu chumbani kwake katika mtaa wa Mwinamila kata ya Ngokolo katika manispaa ya Shinyanga.
Tukio hilo limetokea leo Jumamosi June 10,2017 mchana.
Tukio hili limetokea siku tano tu baada ya kutokea vurugu kati ya waendesha bodaboda na polisi baada ya mwendesha bodaboda mwenzao kufariki baada ya kukamatwa na askari wa usalama barabarani.
Umejisikia tu kuandika ???Wakurya bhana.......
Kwanini useme mkurya sio kabila lingine??Watanzania tuko very mobile.
Njoo na facts ili kuweka sawa hoja yakoMtoa mada huo ni uchochezi kuunganisha kifo chake na mgogoro wa waendesha bodaboda na Polisi traffic tukio lilitokea siku tano kabla ya kifo.
Mtoa mada huo ni uchochezi kuunganisha kifo chake na mgogoro wa waendesha bodaboda na Polisi traffic tukio lilitokea siku tano kabla ya kifo.
Kifo chake kimesababishwa na madereva wenzake