Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Frank Kailembo amekemea wanasiasa wanaowasemea watumishi wa umma na kueleza kuwa yapo majukwa na taratibu za kisheria zinazowapa mwanya wa kuwasilisha changamoto zinazowakabili.
Kailembo amesema hayo katika madhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika kimkoa wilayani Ngara.
Kailembo amesema hayo katika madhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika kimkoa wilayani Ngara.