MartinCoder
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 700
- 629
Watanzania huyu ni tapeli amejiunga leo ccm na amejitangaza kuwa yeye ni Mwenyekiti wa Bavicha (W) Kinondoni...mpuuzeni amewatapeli Uvccm, Mwenyekiti wa Bavicha (W) Kinondoni ni Mm Benjamin Kambarage sijahama, sijahamia na sina mpango wa kwenda ccm..