Duh, ni hataree*"Nimeamua kujiondoka rasmi katika chama cha demokrasia na maendeleo ( chadema) na kujiunga rasmi na chama cha Mapinduzi (ccm) baada ya kutorizishwa na uendeshwaji wa chama na uchu wa madaraka ikiwamo kung'aninia nafasi ya uwenyekiti na uendeshwaji wa chama kwa ujumla na nimeamua kumuunga mkono Mheshimiwa J.P Magufuli ( Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania )"*
- Lee Saydou, Mwenyekiti Bavicha na Redbridge Chadema Jimbo la Kinondoni.View attachment 824479