Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,796
- 48,045
Wawe wanachagua wenyekiti vijana, huyu si age mate wa pole pole
Hii kiki haina nafasi kama wao wajanja waweke uchaguzi wa mwenyekiti ktk katiba yao sio magufuli anapita bila kupingwa ktk chama chao et kisa raisi unakuwa moja kwa moja mwenyekit je kwa wale wasiokuwa na uwezo wa kuongoza nchi ila wanataka kuongoza chama wanafanyaje?kinachoshangaza zaidi polepole na genge lake la maCCM wanaumia zaidi mbowe kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kuliko wana CHADEMA wenyewe.
Ndo maneno yenu hayoHuyu hata sijawahi kumsikia.
Ni hatari sana mkuu, kuna wakati najiuliza sana kwamba kuwa CCM ni lazima uwe mjinga mjinga?Hii kiki haina nafasi kama wao wajanja waweke uchaguzi wa mwenyekiti ktk katiba yao sio magufuli anapita bila kupingwa ktk chama chao et kisa raisi unakuwa moja kwa moja mwenyekit je kwa wale wasiokuwa na uwezo wa kuongoza nchi ila wanataka kuongoza chama wanafanyaje?
HahahahaChadema hilo kiongozi wa Red Brigade huyoooooo kasepa Mbowe ondoka
Chama kitabaki na mtu na mkwe wakwe tuHizi habari zishatuchosha.
Mi napenda aendelee kubaki kama mwenyekiti ili chadema iendelee kumeguka.Hahaha ccm wanataka mbowe aondoke jipangeni na propaganda uchwara mwanzo juhudi za magufuli watu wakashtuka saiv mbowe polepole na magufuli wanamuweza lipumba na mrema tu
Faili la green guard ndiyo usiseme kabisha lilishatua zamani ufipa siku Waitara alipotaka kuweka mambo hadharani CCM walilala mbele siku hiyo.Faili la Siri za Redbrigade limeshatua CCM Na serikalini kuna watu hawatalala Leo kifupi wajiandae kukiona cha mtema kuni