chikanu chikali
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 1,141
- 1,826
Watalamu wanasema kila rangi ina maana yake sasa hiyo kijani........
Ndio unamsikia sasa. Tulia unyolewe.Huyu hata sijawahi kumsikia.
Hana sumuNdio unamsikia sasa. Tulia unyolewe.
Sawa.Hana sumu
Mbinu za kishamba sana hizo!Faili la Siri za Redbrigade limeshatua CCM Na serikalini kuna watu hawatalala Leo kifupi wajiandae kukiona cha mtema kuni
wanademokrasia na mwekit wa kudunu had aibuYaani wanasahau hawakukianzisha hiki chama bali waliingia baada ya kukipenda. Waasisi hilo halowashtui. Lengo la Ccm ni kuifanya CHADEMA kama walivyo wafanya NCCR, na CUF. Na ili wafanikiwe ni Mbowe aondoke maana wamemshindwa. Hakika Mbowe ni mwamba kwa Ccm
Wale Redbrigade mliowaleta uchaguzi wa marudio kinondoni kutoka nje ya dar Na nje ya nchi mjue Kila kitu kiko wazi watakamatwa kama kuku mmoja baada ya mwingine Na kushughulikiwa hasa Kwa wazi au Siri kimyakimya.Habari ndio hiyo.Ujumbe umfikie HecheMbinu za kishamba sana hizo!
Lazima achunguzwe mkuu.Dreva wa lissu akitangaza kujiunga ccm lazima awe dreva wa raisi
Mbowe is a pain in your a.ssChadema hilo kiongozi wa Red Brigade huyoooooo kasepa Mbowe ondoka
Kwa siku wanalitaja jina la Mbowe mara myingi kuliko wanavyotaja majina ya wake zao.Hahahaha polepole na magufuli kiki yao imekuwa uwenyekiti wa mbowe
Huyu kapurwa anajua atapewa cheo huko Lumumba.*"Nimeamua kujiondoka rasmi katika chama cha demokrasia na maendeleo ( chadema) na kujiunga rasmi na chama cha Mapinduzi (ccm) baada ya kutorizishwa na uendeshwaji wa chama na uchu wa madaraka ikiwamo kung'aninia nafasi ya uwenyekiti na uendeshwaji wa chama kwa ujumla na nimeamua kumuunga mkono Mheshimiwa J.P Magufuli ( Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania )"*
- Lee Saydou, Mwenyekiti Bavicha na Redbridge Chadema Jimbo la Kinondoni.View attachment 824479
Wewe ndiyo huyo kwenye avatar mweusi kama wasira??mbunge heche Na Redbrigade Brigade wako uliowaleta uchaguzi wa marudio kinondoni kazi kwako Na genge lako