Kama kinakufa hofu ya nini,chaguzi huru? Waacheni wananchi waamue.Msiwachagulie
Tutasema kwa sababu Ruzuku ni pesa za kodi zetu.
Uchaguzi ni pesa za kodi zetu.
Msajili wa vyama analipwa na pesa za kodi zetu.
Na vyama vinatushawishi ili viingie madarakani kusimamia rasilimali zetu.
Sasa haiwezekani kuwa na chama cha MTU binafsi kwa mgongo wa walipa kodi.
Na kama Mbowe atangangania kwenye uenyekiti wa chama ambacho watu wengi mpaka sasa wameuawa kwa kutetea uhai wa chama halafu yeye analeta usultani basi akabaki huko nyumbani kwake na familia yake lakini sio kuzunguka kuhamasisha watu wanapigwa risasi ili tu ajione fahari kutembea na mabodigadi mgongini wakati chama ni kimebaki kama kamati ya send off.
Mbowe asijidanganye kuwa chadema ikifa itarudi tena.
Sio kwa utawala huu wala ujao.
Labda kizazi kijacho lakini sio hiki.
Mbowe mwenyekiti gani hana agenda mpaka utokee msiba ndio utamsikia.
Makosa mengi sana ya watendaji yanafanyika ambayo yapo kisheria kabisa wala hayahitaji maandamano ,ni suala la kwenda tu mahakamani. Ujue mbowe ni Pandikizi niambie ni lini mbowe amefanya majumuisho ya kura za jimbo lolote au kata yoyote na kutonyesha kuwa wameshinda kwa jumla ya kura kituo kwa kituo zaidi ya kusema tumeibiwa kura bila kutoa takwimi za ushindi?
Munalalamika oooh dikteta dikteta wakati dikteta mkuu yupo ndani ya Chadema.