Mwenyekiti ACT - Ang'olewa !

Mwenyekiti ACT - Ang'olewa !

Juliana shonza, mtela mwampamba grey son nyakarungu, Habib change. Poleni kwa kubalehe kabla ya muda
 
LIMBU kahongwa na Chadema kukivuruga chama cha wazalendo. Akafie mbali jamaa huyu. Kila la heri wanaACT pia jiandaeni kumpokea jembe Lowassa na Zitto.
Kama ambavyo Zitto alihongwa na CCM kuvuruga CHADEMA? hahahaaaaaaaaaaaaa

Mkuki kwa nguruwe..... !!!

By the way, wewe mwenye chuki na wakristo, kumbuka na Lowassa ni mkristo.
 
ACT CCM/Usaliti chalii!!! Chezeya mipango ya Mungu weye!!!
 
chama hicho kilishatabiriwa kufariki kabla hata ya kufika mei 2014 . chama kimejaa mamluki na mapandikizi kibao. kuna mamluki wa ccm , chadema na cuf, kila mamluki anafanya kazi ya waliomtuma kuhakikisha chama hicho cha ZZK kinafariki
 
Nakumbuka sana kauli ya baba wa Taifa kuwa dhambi ya ubaguzi......,kinachowatafuna ACT ni kile kile dhambi ya usaliti ni sawa na kula nyama ya mtu,ukishaianza uwezi kuacha
 
chama hicho kilishatabiriwa kufariki kabla hata ya kufika mei 2014 . chama kimejaa mamluki na mapandikizi kibao. kuna mamluki wa ccm , chadema na cuf, kila mamluki anafanya kazi ya waliomtuma kuhakikisha chama hicho cha ZZK kinafariki

He! Eti chama hiki kina mamluki wa CCM, Chadema na CUF? Kazi ipo. Sasa vp ZZK haendi huko sasa?

Au anasubiri nafasi ya Mwenyekiti iwe wazi kwanza?
 
nmeamin ACT sio saccos ya mtu natangaza rasmi kuisaka kad ya ACT TANZANIA npo kurasin mwenye kuweza nielekeza ofc ilipo karb anisaidie nkajsajr rasmi
 
nmeamin ACT sio saccos ya mtu natangaza rasmi kuisaka kad ya ACT TANZANIA npo kurasin mwenye kuweza nielekeza ofc ilipo karb anisaidie nkajsajr rasmi
Hiyo kwenye red ni utumbo gani? wa kuku au wa bata..........au kichwani kwako ndipo ulipo utumbo wa bata.
 
nmeamin ACT sio saccos ya mtu natangaza rasmi kuisaka kad ya ACT TANZANIA npo kurasin mwenye kuweza nielekeza ofc ilipo karb anisaidie nkajsajr rasmi

Unaweza pia kujisajiri ofisi yoyote ya CCM iliyo karbu yako.
 
Kira siku naona maandishi ya chama cha act humu jf.hicho chama kipo maeneo ya wapi?tafadhali wadau mnijuze kiko wapi?
 
Kira siku naona maandishi ya chama cha act humu jf.hicho chama kipo maeneo ya wapi?tafadhali wadau mnijuze kiko wapi?
 
Back
Top Bottom