Mh! Mpaka hapa sijui nani amefukuzwa na nani na nani anabaki na nani na nani anaongoza chama na nani.!
Kila mwenye uwezo kamfukuza mwenzake chama hakina katibu wala mwenyekiti wote wamefukuzana.
Vyama vya upinzani Tanzania ni majanga tu.
Ndio maana wananchi wanavipuuza.
LIMBU kahongwa na Chadema kukivuruga chama cha wazalendo. Akafie mbali jamaa huyu. Kila la heri wanaACT pia jiandaeni kumpokea jembe Lowassa na Zitto.
HaaHAAA A! Mkuu umemaliza tena mbaya zaidi aliwachagulia boti iliyotoboka akijua jamaa hawatachukua muda kwisha habari yao.Keshawatosa zamani...
Imagine siku Yesu alipowaambia wanafunzi wake watangulie kwa boti kisha kawafuata akitembea kwa miguu juu ya maji...
Sasa hawa waliambiwa watangulie kwa boti... baadae Zitto kachukua zake gari karudi town
Hivi mpaka leo huna akili yakujisimama ungemuheshimu Limbu alieznguka Tanzania nzima kutangaza chama cha misikitini cha de republica le congo Lowassa mwizi ndio wa kujivunia Zitto msaliti Lakini Limbu atkufyatishaLIMBU kahongwa na Chadema kukivuruga chama cha wazalendo. Akafie mbali jamaa huyu. Kila la heri wanaACT pia jiandaeni kumpokea jembe Lowassa na Zitto.
That's is very true mbona sasa hata wale waliokuwa wakishinda JF na mapambio wamekimbiaHawa Jamaa wako Predictable ile mbaya... Wote tulijua kuwa Fedha za ESCROW zikiwaishia watang'oana na imekuwa hivyo...