Joseph Kadasula
Member
- Apr 26, 2016
- 21
- 19
Naomba mrejesho kwa ambaye ameshatumia decoder mpya za antenna za azam. Nahitaji mrejesho hasa upande wa muonekano wa picha,radio stations, kukwama kwa picha wkt wa mvua na upepo.
NB. Ni kwa ambaye ametumia au anatumia ili feedback iwe accurate
NB. Ni kwa ambaye ametumia au anatumia ili feedback iwe accurate