Dahh hapo kazi tena mdau,ameanza lini na yeye alifanya interview ya kazi gani mkuu? mi nilifanya mwezi uliopita.
Nashukuru mkuu kwa mawazo,Try to call them, watakwambia tu, kama usubiri au wenzio kazi wameshaanza.
Two weeks after interview wanakuita ukiona kimya ujue wamekuweka akiba au hawakuridhika nawe