Mwenye Update za Mwanza Community Bank

Mwenye Update za Mwanza Community Bank

sweetanny

Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
27
Reaction score
5
Kunatetesi kwamba wametoa majina mwananchi la tar 1 march, mwenye link naomba anijuze
 
Wamejib kwenye e mail wachukua watu 50 na wanafanyia attitude final test on line
 
Walituma email tarehe 21/feb kuwa wamechukua watu 50 na wakatoa apttitude test ya kufanya ndani ya dakika 25 then majina yatatolewa tarehe 20/march au kabla ya tarehe 01/april kwenye gazeti la Mwananchi au Daily news.
 
mkuu kuna dogo kapata email jana na inagoma kufunguka. vipi kwako?
 
Walituma email tarehe 21/feb kuwa wamechukua watu 50 na wakatoa apttitude test ya kufanya ndani ya dakika 25 then majina yatatolewa tarehe 20/march au kabla ya tarehe 01/april kwenye gazeti la Mwananchi au Daily news.
mkuu kuna dogo kapata email jana na inagoma kufunguka. vipi kwako?
 
mkuu kuna dogo kapata email jana na inagoma kufunguka. vipi kwako?

Mshauri afungue kwenye computer ingine labda anayofungulia haina software inayotakiwa. Pia anaweza kuiforward kwa wengine wajaribu kuifungua.

Ikishindikana awajibu waliomtumia haraka kuwa ameshindwa kuisoma labda watatuma ingine.

Ila ajaribu hayo juu kwanza ili asipitwe.
 
asanteni,mie nimechek mail hakuna kitu!all the bst waliopata
 
Walituma email tarehe
21/feb kuwa wamechukua watu 50 na wakatoa apttitude test ya kufanya
ndani ya dakika 25 then majina yatatolewa tarehe 20/march au kabla ya
tarehe 01/april kwenye gazeti la Mwananchi au Daily news.

wanatumaje email tar 21 na deadline ilikuwa tar 28???.....mbona sielewi hapa
 
Jamani hao ni wezi achaneni nao mm mwenyewe npo miongon mwa watu walio tumiwa sms kwenye email lkn nimefatilia ao n wezi tu
 
Kama mtu huna taarifa kamili bora ukakaa kimya.

Bora tukakutaarifu ili kama ni matapeli usijeingia mkenge maana maelezo yao ya mwanzo walisema wangetoa majina tarehe moja feb lakini kwenye email walizotuma wakabadilisha na kusema majina yatatoka tarehe 20 march.
TUWE MAKINI KAMA HAWAELEWEKI VILE.
 
Bora tukakutaarifu ili kama
ni matapeli usijeingia mkenge maana maelezo yao ya mwanzo walisema
wangetoa majina tarehe moja feb lakini kwenye email walizotuma
wakabadilisha na kusema majina yatatoka tarehe 20 march.
TUWE MAKINI KAMA HAWAELEWEKI VILE.

uko sahihi sana...hata mi niliona walisema watatoa majina tar 1 march kwenye gazeti na baadae wakabadilisha 20 march na tangazo walilidelete zoom b4 the deadline....pia kwann wawatumie email watu b4 the deadline day??.....deadline ilikuwa tar 28....den wawatumie email watu tar 21...how comes???....
 
ukiwa unatambua maisha siku hizi ni kutafutana unatakiwa kuwa makini. fanya yote but pesa usitoe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom