Kwa hiyo voingozi wa dini hawaruhusiwi kuzungumzia masuala ya siasa? Viongozi wa dini ni viongozi wa jamii pia.Kamwe usitumie dini kama mwavuli kufikisha dhana yako, utabaki peke yako na chatu
Siwezi kuwa sehemu ya ukombozi kwa kipuuzi.! Hivi huo ukombozi unaoongelewa hapo ni kwa faida ya nani? Ili iweje?
Siwezi kulishwa matango pori kupumbavu pumbavu kisha nikakubali eti ukombozi
How.? Its nonesense!
Kama ukombozi wenyewe ndo huo bora waendeleee kuozea huko gerezani.
Una uhakika huyo mnaemwita jiwe ndo aliyewaweka ndani?The Next Diplomasia Membe Atawatoa Sio Jiwe Anawatoa #wabakaji
Na hayo maembe hata mkiyatengeneza siki haitafaa kwa muda uliobak.The Next Diplomasia Membe Atawatoa Sio Jiwe Anawatoa #wabakaji