Mwenye update juu ya kesi ya hawa masheikh

Baba wa Mapaka

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
1,813
1,629
Wakuu
Habari za usiku nimekaa na kuwaza sana juu ya hawa Masheikh wetu ambao tumekuwa tukiaminishwa kwamba uchunguzi wa kesi yao bado haujaisha

Je wachunguzi wa mambo
Kuna dalili yoyote ya hawa mabwana kushinda na kuchomoka kwenye kesi yao?
FB_IMG_1540751679771.jpeg
 
Mi nafikiri jamii kwa ujumla pasipo kuangalia itikadi/jinsia/kabila, jambo lolote la dhulma au unyanyasaji likitokea kwa mmoja wetu/kikundi cha watu, jamii kwa ujumla wetu yatupasa tupaze sauti.
Hayo ndio maneno...
Wale ni Masheikh nawafahamu lakini kwa hili hawakuongelea waislamu tu...M/M ungu atawafungulia njia InshaAllah
 
Wakuu
Habari za usiku nimekaa na kuwaza sana juu ya hawa Masheikh wetu ambao tumekuwa tukiaminishwa kwamba uchunguzi wa kesi yao bado haujaisha

Je wachunguzi wa mambo
Kuna dalili yoyote ya hawa mabwana kushinda na kuchomoka kwenye kesi yao?View attachment 914348
Hawa wengi wao sio Watanzania bali ni wahamiaji haram kutoka Somalia na Uarabuni. Kikwete aliyajua haya ndio mana akawafunga. Hawa lengolao ilikuwa kuleta uislam wa kigaidi Tanzania na walishaanza. Nibora waendelee kukaa ndani paka aliyewatuma aombe msamaa.
 
Lete ushahidi
Hawa wengi wao sio Watanzania bali ni wahamiaji haram kutoka Somalia na Uarabuni. Kikwete aliyajua haya ndio mana akawafunga. Hawa lengolao ilikuwa kuleta uislam wa kigaidi Tanzania na walishaanza. Nibora waendelee kukaa ndani paka aliyewatuma aombe msamaa.
 
Back
Top Bottom