ibby
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 415
- 584
Usi zihirish cuki kiasi cote hicoo kaka!!Aca Mungu anajua kweli na yaliyofichwaLete ushahidi
Usi zihirish cuki kiasi cote hicoo kaka!!Aca Mungu anajua kweli na yaliyofichwaLete ushahidi
Ushaidi hawana ndugu hapa bongo. Ndugu zao wako Somalia na Uarabuni
Mbona wahamiaji wengine hufungwa na baada ya kifungo hurejeshwa makwao? Mbona hawa ni tofauti?Hawa wengi wao sio Watanzania bali ni wahamiaji haram kutoka Somalia na Uarabuni. Kikwete aliyajua haya ndio mana akawafunga. Hawa lengolao ilikuwa kuleta uislam wa kigaidi Tanzania na walishaanza. Nibora waendelee kukaa ndani paka aliyewatuma aombe msamaa.
Acha upotoshaji! Kama ni wahamiaji haramu mbona uhamiaji hawajasema!!?Hawa wengi wao sio Watanzania bali ni wahamiaji haram kutoka Somalia na Uarabuni. Kikwete aliyajua haya ndio mana akawafunga. Hawa lengolao ilikuwa kuleta uislam wa kigaidi Tanzania na walishaanza. Nibora waendelee kukaa ndani paka aliyewatuma aombe msamaa.
kwanza kbs hapo hakuna kesi juu ya hao masheikh. kilichopo ni kuwakomesha na kuwatoa km mfano kwa yyote mwenye kujaribu kuhoji khs muungano rudia kauli makamo wa Rais Znz Mh Alhaji Seif Ally Iddy...Wakuu
Habari za usiku nimekaa na kuwaza sana juu ya hawa Masheikh wetu ambao tumekuwa tukiaminishwa kwamba uchunguzi wa kesi yao bado haujaisha
Je wachunguzi wa mambo
Kuna dalili yoyote ya hawa mabwana kushinda na kuchomoka kwenye kesi yao?View attachment 914348
Kajifunze kuandika vizuri halafu urudi tena. Pumbaffffff.Usi zihirish cuki kiasi cote hicoo kaka!!Aca Mungu anajua kweli na yaliyofichwa
Acha uongo bwabwa wewe.Ushaidi hawana ndugu hapa bongo. Ndugu zao wako Somalia na Uarabuni
Hiki ni kiswahili!?Usi zihirish cuki kiasi cote hicoo kaka!!Aca Mungu anajua kweli na yaliyofichwa
Duuh!!inakua aje tena na mitusi yoote hio!!Kajifunze kuandika vizuri halafu urudi tena. Pumbaffffff.
Kipi kipya hapo ur pussy!!Hiki ni kiswahili!?
Ndugu ulikuwepo Zanzibar wakati wa vuguvugu lile la uamsho?Mi nafikiri jamii kwa ujumla pasipo kuangalia itikadi/jinsia/kabila, jambo lolote la dhulma au unyanyasaji likitokea kwa mmoja wetu/kikundi cha watu, jamii kwa ujumla wetu yatupasa tupaze sauti.
Umenena vizuri sana. Wale njemba walitumwa kuharibu hali ya usalama hapa nchini. na sio watanzania halisi wale.Ndugu ulikuwepo Zanzibar wakati wa vuguvugu lile la uamsho?
Ulihudhuria ile mihadhara yao iliyokuwa ikifanyika.? Kuanzia pale Darajani, lumumba, au kule mahonda.?
Unafahamu kilichokuwa kinatokea mitaa ya jang'ombe na kiembe samaki au kwa mchina baada ya mihadhara ile?
Unafahamu madhara waliyoyapata watu baada ya mihadhara ile..?
Hebu fikiri kidogo kama wasinge zuiliwa hii Nchi leo hii ingekuwa wapi? Unakumbuka wale mapadri walio uwawa kule zanzibar?
Unakumbuka zile tindikali walizomwagiwa watu kule unguja.? Tulia kidogo vuta kumbukumbu kisha waza kama hawa masheke! Wangekuwa huru leo hii zanzibar ingekuwa wapi?
Bila shaka hawa na wale wa Kibiti ni ndugu moja, na wale waliokuwa wanasema Pwani si Kenya ni hawa hawa na style zao ni zilezile.
Ndugu kukamua jipu ili kutoa usaha ndani kuna hitaji roho ngumu ni lazima anayekamuliwa alalamike sana.kwa maumivu lakini hiyo ndiyo dawa pekee.
Tunashukuru serikali kwa hatua makini walizo chukua ningekuwa na uwezo ningekutumia hapa hotuba zao, na madhara yaliyotokea kwenye jamii baada ya hotuba zile. Kama uko Unguja hadithi hizi sio ngeni kwako.
Nakazia.....kwanza kbs hapo hakuna kesi juu ya hao masheikh. kilichopo ni kuwakomesha na kuwatoa km mfano kwa yyote mwenye kujaribu kuhoji khs muungano rudia kauli makamo wa Rais Znz Mh Alhaji Seif Ally Iddy...
Ni wa Tanzania uhakika..Umenena vizuri sana. Wale njemba walitumwa kuharibu hali ya usalama hapa nchini. na sio watanzania halisi wale.
Ndugu ulikuwepo Zanzibar wakati wa vuguvugu lile la uamsho?
Ulihudhuria ile mihadhara yao iliyokuwa ikifanyika.? Kuanzia pale Darajani, lumumba, au kule mahonda.?
Unafahamu kilichokuwa kinatokea mitaa ya jang'ombe na kiembe samaki au kwa mchina baada ya mihadhara ile?
Unafahamu madhara waliyoyapata watu baada ya mihadhara ile..?
Hebu fikiri kidogo kama wasinge zuiliwa hii Nchi leo hii ingekuwa wapi? Unakumbuka wale mapadri walio uwawa kule zanzibar?
Unakumbuka zile tindikali walizomwagiwa watu kule unguja.? Tulia kidogo vuta kumbukumbu kisha waza kama hawa masheke! Wangekuwa huru leo hii zanzibar ingekuwa wapi?
Bila shaka hawa na wale wa Kibiti ni ndugu moja, na wale waliokuwa wanasema Pwani si Kenya ni hawa hawa na style zao ni zilezile.
Ndugu kukamua jipu ili kutoa usaha ndani kuna hitaji roho ngumu ni lazima anayekamuliwa alalamike sana.kwa maumivu lakini hiyo ndiyo dawa pekee.
Tunashukuru serikali kwa hatua makini walizo chukua ningekuwa na uwezo ningekutumia hapa hotuba zao, na madhara yaliyotokea kwenye jamii baada ya hotuba zile. Kama uko Unguja hadithi hizi sio ngeni kwako.