Mwenye update ISON

Mwenye update ISON

Baba Kapompo

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
1,344
Reaction score
468
Waungwana naomba muongozo wenu kwa yoyote anaye jua hii kampuni iitwayo ISON pale uchumi hivi wameiita watu au ndo magumashi maana nimeapply mda sana kimya chao kimekuwa kingi

Yoyote aliyeitwa anijuze au ndo tumekula za uso
 
Mmh waliitaga last month mwez wa saba kwa frst intrvw den baada ya iddi wakaita kwa scnd intrvw oral..bt chakushangaza watu walifika kwa intrvw den waailisha so ppo zkard makwao..hadi leo kmyaaaa
 
Waungwana naomba muongozo wenu kwa yoyote anaye jua hii kampuni iitwayo ISON pale uchumi hivi wameiita watu au ndo magumashi maana nimeapply mda sana kimya chao kimekuwa kingi ..kwa yoyote aliyeitwa anijuze au ndo tumekula za uso

tupo busy tunawa audit kwa sasa
ila tumemaliza..nadhani week ijayo watakua free waanze kurejea kwenye usaili..
 
tupo busy tunawa audit kwa sasa
ila tumemaliza..nadhani week ijayo watakua free waanze kurejea kwenye usaili..

Acha uongo, hamna audit yoyote, kulikua na Zoezi la rationalization and re sizing, nadhan unaelewa hapo, Almost watu 140 wamepunguzwa kazi, Hawa walikua wakila mpunga mrefu kidogo, sasa wanataka kufungua madirisha na kuajiri kama kumbi kumbi... Hata kama una rafiki zako waambie wapeleke CV pale QC"fizikali"... Wataajiri watu wengi sana kwa sasa

Ila usiwazie maslahi sana ukitaka kuja ison, Welcome on board


I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.
 
Acha uongo, hamna audit yoyote, kulikua na Zoezi la rationalization and re sizing, nadhan unaelewa hapo, Almost watu 140 wamepunguzwa kazi, Hawa walikua wakila mpunga mrefu kidogo, sasa wanataka kufungua madirisha na kuajiri kama kumbi kumbi... Hata kama una rafiki zako waambie wapeleke CV pale QC"fizikali"... Wataajiri watu wengi sana kwa sasa

Ila usiwazie maslahi sana ukitaka kuja ison, Welcome on board


I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.
Ison wanaajiri kila kukicha
 
Jengo la Quality Center kituo kinaitwa mtava kama watoka tazara kwenda kariakoo


I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.
 
Acha uongo, hamna audit yoyote, kulikua na Zoezi la rationalization and re sizing, nadhan unaelewa hapo, Almost watu 140 wamepunguzwa kazi, Hawa walikua wakila mpunga mrefu kidogo, sasa wanataka kufungua madirisha na kuajiri kama kumbi kumbi... Hata kama una rafiki zako waambie wapeleke CV pale QC"fizikali"... Wataajiri watu wengi sana kwa sasa

Ila usiwazie maslahi sana ukitaka kuja ison, Welcome on board


I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.

Mkuu, nime audit iyo kapuni mwezi wa 6, na F.S nimeitoa juzi juzi hapa

naamini unaelewa nayo umuhimu wake..kama walikua wanaaibia mtajiju, ila shareholders kwa upande wao ndo wamepata going concern zao early this month

wakiamua kuajili ndo wataanza sasa ila sio kipind kile ambapo hawakujijua financial stand yao ina lie wapi
 
Habari wana JF,naomba kujuzwa jinsi ya kuaply maombi ya kazi ISON
Pia uwe na sifa gani?
asanteni sana
 
Habari wana JF,naomba kujuzwa jinsi ya kuaply maombi ya kazi ISON
Pia uwe na sifa gani?
asanteni sana

Hata kama umemaliza form 4 na una any certficate, nenda mwenyewe na vyeti vyako jengo la quality center

Ulizia ofisi za ison (kazi ni ya customer care representative)


I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.
 
Mkuu, nime audit iyo kapuni mwezi wa 6, na F.S nimeitoa juzi juzi hapa

naamini unaelewa nayo umuhimu wake..kama walikua wanaaibia mtajiju, ila shareholders kwa upande wao ndo wamepata going concern zao early this month

wakiamua kuajili ndo wataanza sasa ila sio kipind kile ambapo hawakujijua financial stand yao ina lie wapi

Basi sawa mkuu wa kazi nimekusoma


I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.
 
Back
Top Bottom