Mwenye ujuzi wa kutoa Apple id iPhone 4

Mwenye ujuzi wa kutoa Apple id iPhone 4

Apple will never do that umesahau ID unaweza retrive via your email na mambo mengine maana kwa hali ya kawaida huwez sahau ID na email usahau basi itakuwa wewe simu si ya kwako.
Man kufungua icloud $50? You cant be serious icloud sio rahisi kihivyo watu simu tushazipeleka hata huko dubai tunaambulia patupu ila nalojua unaweza bypass icloud lock kwenye ioa below 8 na ukishai bypass itakuwa haisomi network inabidi uijailbreak na kuweka patch ya kuiforce kusoma network

Mimi nilishafungua yangu sikusimuliwa kijiweni,unachobisha ni nini !!!!!???
 
Na hadith zako ni za nani ??Adili na nduguze 😅😅

Mkuu pengine hatuelewani sababu tunaongelea vitu viwili tofauti
Kuna Screen lock(inawezekana) na kuna activation lock(haiwezekani)

Maadamu mwenzetu umefanikiwa tueleze basi ilikuaje?

Kama umesahau Password, kupitia Apple website unaweza tu kuirudisha iwapo utakumbuka na kuwa na access na njia mbadala ulizoweka kuritrive password yako lakini sio kwa kuwapa sijui risti ya manunuzi wala emei no then wao waifungue........HAKUNA KITU KAMA HII

Kuna jamaa iphone yake ilikua na screen lock na hana password kaliwa pesa kibao akadanganywa imetolewa icloud lock kumbe haikuwa hata na acc yoyote zaidi ya screen lock

Tuambie basi tupate ufumbuzi wenzio, yako ilikua iphone gani na ilikua ios gani? Maana isije ikawa ulikua na iphone 4 ios chini ya 8 hapo uwezekana upo anagalau

Mpaka sasa nshatudisha iphone za watu 12 sababu tumekosa njia ya kufungua, kila fundi atakwambia naweza ukimpa anatoa betri na kukuweke fake then anaanza sound, mmoja tukamuweka ndani wiki nzima
Tukahamia online, huko ndio usijaribu kabisaaaaa maana watakula hela na utaishia kupigwa sound tu na hujui hata utawapatia wapi

Ukitoa suluhu ya ulivyofanya mkuu ntapiga sana hela hata kama kutoa ni usd200

Vinginevyo itabaki ni hekaya za abunuwasi tu
 
Mkuu pengine hatuelewani sababu tunaongelea vitu viwili tofauti
Kuna Screen lock(inawezekana) na kuna activation lock(haiwezekani)

Maadamu mwenzetu umefanikiwa tueleze basi ilikuaje?

Kama umesahau Password, kupitia Apple website unaweza tu kuirudisha iwapo utakumbuka na kuwa na access na njia mbadala ulizoweka kuritrive password yako lakini sio kwa kuwapa sijui risti ya manunuzi wala emei no then wao waifungue........HAKUNA KITU KAMA HII

Kuna jamaa iphone yake ilikua na screen lock na hana password kaliwa pesa kibao akadanganywa imetolewa icloud lock kumbe haikuwa hata na acc yoyote zaidi ya screen lock

Tuambie basi tupate ufumbuzi wenzio, yako ilikua iphone gani na ilikua ios gani? Maana isije ikawa ulikua na iphone 4 ios chini ya 8 hapo uwezekana upo anagalau

Mpaka sasa nshatudisha iphone za watu 12 sababu tumekosa njia ya kufungua, kila fundi atakwambia naweza ukimpa anatoa betri na kukuweke fake then anaanza sound, mmoja tukamuweka ndani wiki nzima
Tukahamia online, huko ndio usijaribu kabisaaaaa maana watakula hela na utaishia kupigwa sound tu na hujui hata utawapatia wapi

Ukitoa suluhu ya ulivyofanya mkuu ntapiga sana hela hata kama kutoa ni usd200

Vinginevyo itabaki ni hekaya za abunuwasi tu

Nadhan jamaa anaongelea lock nyingine sio icloud jaman icloud ni deal kuliko hata carrier lock kama kuna wanaoitoa haiwezi kuwa 50$ na sijaona anayetoa icloud lock ya kuanzia ios 8xx tena kwenye simu za kuanzia iphone 5 mpaka 6+
 
Haiwezekani,mwenyew natamia iphone 4s ila Id cyo yangu ni ya mtu tena yupo china ila alinipa na password ubaya wake aki download kitu yeye adi kwenye cm yngu kinakuwepo

Kama alishakupa na password basi waweza signout hiyo account yake na utengeneze mpya hapo simu inakuwa tayari yako maana kwa sasa hivi hiyo hajakupa amekuazima tuu
 
DAH ADI LEO HAKUNA ALIEKUJA NA JIBU LA HILO SWALI...KWELI IPHONE KIBOKO
 
jibu gani unataka ww? iphone 4 icloud inatoka na ipad
INATOKAJE MKUU NAOMBA UNIELEKEZE NINAYO IPHONE 4S INASUMBUA INAHITAJI KUINGIZA ACCOUNT YA MTUMIAJI WA MWANZO...NAE ALISHAONDOKA SINA ATA MAWASILIANO NAE
 
Back
Top Bottom