Mwenye ujuzi wa kutoa Apple id iPhone 4

Mwenye ujuzi wa kutoa Apple id iPhone 4

Nipe nadharia mkuu au link tu

Au na wewe unasikia!!!!!

Nataka kujua tu, kuna mtu ana iphone 6 plus anaitumia fresh tu ila ina apple id ya mtu mwingine

Uko version gani ya iOS tukutolee hiyo ID, au unataka "kufundishwa"?
 
Haijawa reported wapi mkuu?
4s kwenda juu simu ikikwama kwenye activation lock unapotakiwa kuweka Apple Id hakuna kitu unaweza kufanya so far

Prove me wrong mkuu
I stand to be corrected!!!!!!

Kaka nadhani ujamwelewa jamaa anachosema hii issue inawezekana kabisa.Pale nyuma ya simu kuna zile namba(IMEI) ukiziingiza kwenye system zitakupa full information ya mnunuzi wa simu hiyo mfano mnunuzi ni X aliinunua duka X tarehe X nk.Sasa kama hiyo Id umesahau kuna mtu atachukua hiyo namba(IMEI) iliyo nyuma ya simu na kuwasiliana na Apple kuwa mteja wangu amesahau Id yake Apple watachunguza na kuifungua,lakini kama mimi nimeibiwa hiyo simu na nikaripoti Apple maana yake haitawezekana kuifungua.Kwa Dar kuna jamaa anafungua kwa $170.Siyo lazima kumpelekea simu mpe tu IMEI namba.Hapa Dubai gharama ya kufungua ni $50 lakini kama wakigundua ni ya wizi.......
 
Kaka nadhani ujamwelewa jamaa anachosema hii issue inawezekana kabisa.Pale nyuma ya simu kuna zile namba(IMEI) ukiziingiza kwenye system zitakupa full information ya mnunuzi wa simu hiyo mfano mnunuzi ni X aliinunua duka X tarehe X nk.Sasa kama hiyo Id umesahau kuna mtu atachukua hiyo namba(IMEI) iliyo nyuma ya simu na kuwasiliana na Apple kuwa mteja wangu amesahau Id yake Apple watachunguza na kuifungua,lakini kama mimi nimeibiwa hiyo simu na nikaripoti Apple maana yake haitawezekana kuifungua.Kwa Dar kuna jamaa anafungua kwa $170.Siyo lazima kumpelekea simu mpe tu IMEI namba.Hapa Dubai gharama ya kufungua ni $50 lakini kama wakigundua ni ya wizi.......

As far as i know hata Apple wenyewe watakwambia hawana uwezo huo

Mkuu sio rahisi hivi jamani mi nimehangaika na simu za watu hadi nikakoma

Jamaa yangu kaliwa pesa kuanzia kwa mafundi hadi online hakuna alichoambulia

Hizo ni stori za mitaani tu labda kama ni iphone 4 na ios chini ya 8 labda...........

Apple hawatoi information yeyote kama umesahau id yako kuna hints kibao za kuretrive acc yako lakini sio kwa Apple kukupa wao password
Tembelea na website yao na forum yao uone mwenyewe mkuu
 
Iyo ni kwel hata mimi mwenyewe nimehangaika na iPhone 5s yangu nilinunua USA iko locked mpaka nikaongea na apple wenyewe wakaikataa wqkasema haiwezekani mpaka mwenye simu aifungue.
So haiwezekani iyo mambo kabisa.
Fundi ambae atakwambia anaweza kutoa iyo lock ujue aidha anataka tu kukulia pesa au anataka kukuchomolea bettry origino akuwekee ya kichina
 
Ukweli ni kwamba apple walisema hata ukiwapelekea wao na risiti original kwamba simu ni yako, hawawezi kutoa icloud lock hadi yule mwenye icloud account.

Sasa endeleeni kudanganya tuuu...
 
Iyo ni kwel hata mimi mwenyewe nimehangaika na iPhone 5s yangu nilinunua USA iko locked mpaka nikaongea na apple wenyewe wakaikataa wqkasema haiwezekani mpaka mwenye simu aifungue.
So haiwezekani iyo mambo kabisa.
Fundi ambae atakwambia anaweza kutoa iyo lock ujue aidha anataka tu kukulia pesa au anataka kukuchomolea bettry origino akuwekee ya kichina

Mkuu wote wanaosema inawezekana wataishia kukwambia nasikia au kuna jamaa yangu kaniambia blah blah blah

Mpe sasa uone atakavyoanza kubadili lugha mara ohh hii imekua reported....... Reported wakati inafanya kazi na inawaka ila tu ina id ya mtu mwingine?

Hapa mi nimewanyooshea mkono Apple hii kitu bado haijapata ufumbuzi
 
Miye nina APPLE IPAD 4 naiona tu ka urembo. Hakuna chochote nimeweza fanya nayo, labda kupigia picha zangu tuu. Too sad tosay, nikikumbuka bei yake na upya wake
 
Hakuna mtu anaweza kutoa Apple Id kwa kuanzia iphone 4s ios 7 kuendelea
Hata Apple wenyewe hawawezi hata uende na nini
 
Miye nina APPLE IPAD 4 naiona tu ka urembo. Hakuna chochote nimeweza fanya nayo, labda kupigia picha zangu tuu. Too sad tosay, nikikumbuka bei yake na upya wake

Mkuu sina hakika sana lakini kuna baadhi ya ipad sina hakika ni zipi, kuna namna unachomoa resistor na zinakubali ku bypass activation lock

Try to google
 
hizo cm zinatoka..ila unalipia euro kama 120..mm rafk yng aliuziwa cm mbili hapa znz cjui kam walipigwa wazungu au vp ila zimetoka lock..kuna fund mmoja anaitwa david ni maarufu yupo hapa znz anatoa vzr tuu..kama una mwenyeji huko mwambie nimpeleke ofcn kwake..na kasema kama kuna cm ina iclod account lakin haijawa reported nimpelekee

nitakutafuta kuna rafiki yangu nae anahiyo cm imeshindwa kufunguka hadi leo still brand new phone
 
ahsanteni ila mwenye ukweli atusaidie kama ni kwelli unaweza fungua mm nina rafiki yangu anashida na hiyo kitu aisee ni pm au weka mawasiliano nikutafute
 
simu ni iphone 6 tatizo imekuwa locked tatizo ni kuifungua mwenye uwezo atoe hapa maelekezo tumtafute wadau
 
Kaka nadhani ujamwelewa jamaa anachosema hii issue inawezekana kabisa.Pale nyuma ya simu kuna zile namba(IMEI) ukiziingiza kwenye system zitakupa full information ya mnunuzi wa simu hiyo mfano mnunuzi ni X aliinunua duka X tarehe X nk.Sasa kama hiyo Id umesahau kuna mtu atachukua hiyo namba(IMEI) iliyo nyuma ya simu na kuwasiliana na Apple kuwa mteja wangu amesahau Id yake Apple watachunguza na kuifungua,lakini kama mimi nimeibiwa hiyo simu na nikaripoti Apple maana yake haitawezekana kuifungua.Kwa Dar kuna jamaa anafungua kwa $170.Siyo lazima kumpelekea simu mpe tu IMEI namba.Hapa Dubai gharama ya kufungua ni $50 lakini kama wakigundua ni ya wizi.......

Apple will never do that umesahau ID unaweza retrive via your email na mambo mengine maana kwa hali ya kawaida huwez sahau ID na email usahau basi itakuwa wewe simu si ya kwako.
Man kufungua icloud $50? You cant be serious icloud sio rahisi kihivyo watu simu tushazipeleka hata huko dubai tunaambulia patupu ila nalojua unaweza bypass icloud lock kwenye ioa below 8 na ukishai bypass itakuwa haisomi network inabidi uijailbreak na kuweka patch ya kuiforce kusoma network
 
Haiwezekani,mwenyew natamia iphone 4s ila Id cyo yangu ni ya mtu tena yupo china ila alinipa na password ubaya wake aki download kitu yeye adi kwenye cm yngu kinakuwepo
 
Back
Top Bottom