Mwenye taarifa ajira NSSF

Mwenye taarifa ajira NSSF

NSSF duuuhhhh..ivi ile kashfa ya migration haikuunganisha na hii...maana pale mpaka uwe na taa ya utosini..siiiigida
 
chanzo chako kipo sahihi. ratiba imevurugika baada ya chief legal officer kupigwa mr komba

Ahahaha kwa hyo huyo legal officer ana uhusiano gan na hz ajira?? tuwe waz tu kwamba kuna zengwe na vimemo basi.. Au wanasubiri watt wao wagraduate labda
 
wamesema mkafuge nyuki hamtaki kusoma hamjui hata picha?
 
Hawana sifa?.je wenye sijida hawana haki ya kuomba au kupata kazi NSSF?

Majibu yako na maswali yako hayana tofauti na yale ya uhmiaji.. Sasa wambie wafanye uchunguzi ndo utajua mbivu na mbichi.....


Uhamiaji ulivyofanyika uchunguzi ikabainika zaidi ya asilimia 80 walikuwa hawana sifa.....

Kwa akili yko mbovu unadhani baba akimfanyia mwanaye usaili atafeli... Mwehu ww
 
Wao Ndo wa Kwanza kuchelewesha ajira?

Maswali yako ni ya kipuuzi.. Ni sawa na kuniuliza. .. Wao ndo wa kwanza kupendelea..... Tehhhhhhhhhhhhhh

wrong is wrong even if Everyone is doing it..... Mwehu ww unadhan sisi wehu wenzako
 
Back
Top Bottom