Mwenye taarifa ajira NSSF

Mwenye taarifa ajira NSSF

Huko unaambiwa sahivi vimemo ni vingi kuliko nafasi wanashindwa kujielewa wafanyaje
 
Huko unaambiwa sahivi vimemo ni vingi kuliko nafasi wanashindwa kujielewa wafanyaje

dumejike na huku kucheleweshwa kwa usajili kunatengeneza mianya ya rushwa...anyway wengine hatuna ndugu huko kwenye vitengo

Tunamtegemea Mungu
Tunategemea vyeti vyetu
Uzoefu na uwezo wetu wa kufanya kazi
uaminifu na uchapaji kazi.

Mungu tutangulie!!

Amina!
 
Last edited by a moderator:
kuna jamaa mmoja hivi ni ndugu wa mfanyakazi mmoja wa NSSF mwenye cheo apo ofisini kamaliza form6 hhehehe kaambiwa na ndugu yake huyo asiende chuo akachkue diploma tuuuuuu Aje ofisini!Nyie mnasubiri kazi hahahahaha
 
dumejike na huku kucheleweshwa kwa usajili kunatengeneza mianya ya rushwa...anyway wengine hatuna ndugu huko kwenye vitengo

Tunamtegemea Mungu
Tunategemea vyeti vyetu
Uzoefu na uwezo wetu wa kufanya kazi
uaminifu na uchapaji kazi.

Mungu tutangulie!!

Amina!

Mungu akutazame kwa Huruma maana inaumiza kweli hii nchi maana ni kma ya akina Fulani vile.
 
Last edited by a moderator:
Mwenye taarifa na nafasi ya OPERATIONAL officer NSSF waungwana humu ndani
 
Back
Top Bottom