Mwenye shida ya vocha ya Tigo

Mwenye shida ya vocha ya Tigo

Usipate shida Mrembo, nitumie namba yako nikutumie buku kumi ukapate lunch na wala sihitaji vocha maana mimi simu zangu zote ni post paid
 
Usipate shida Mrembo, nitumie namba yako nikutumie buku kumi ukapate lunch na wala sihitaji vocha maana mimi simu zangu zote ni post paid
.....ndo namalizia kumsajilia line nyingine hapa akutumie;
.just in case
 
Daah! 10,000 umekuja huku ungenunua laki ungeenda IKULU.
Weka namba upate muamala na iyo vocha baki nayo ila kama wewe ni wa mkoani.
 
habari
jamani kwa yoyote mwenye shida ya vocha ya Tigo ya 10000,5000
anitafute nimtumie
yeye atume tigopesa mimi nirushe vocha
maana nmekosea zero nilikua nanunua vocha ya Tigo 1000 tigopesa nikaongeza zero ikawa 10000..

Alie serious jamani DM
maana asubuhi nna shida nayo hio hela
jamanii
dm ni nini?
 
Back
Top Bottom