Mwenye private jet pekee Tanzania nzima

Mwenye private jet pekee Tanzania nzima

Siwaombei mabaya na sina uhakika kama hiyo pesa kaipata kwa kuuza dona!

Kama ni kweli kaipata kwa kuuza Doba basi Mwenyezi Mungu awalipe kulingana na aliyowafanyia watoto wa wenzie. Hasa waliofikwa na mauti, walifungwa magerezani na wanaoteseka kwa matumizi ya Dona!
 
Angekuwa naishi Arusha angeshaingizwa kwenye list ya Mabilionea zamani...
 
Sasa kama huyu ni hivi tu rizimoko si balaa!!!!Sembe jaman sembe via magogoni watu wanakula bata batwani....
 
Hiyo kufunguka ni kwa hisani ya Kije na mzee wake Mkuu kweli maisha haya wakati tuko wadogo huyu jamaa tumekaa nae Mbeya wakati wazee wetu wakiwa madarakani serikalini kabla hawajasitahafu lakini mwezangu katusua kama wasemavyo watoto wa mjini ha!ha!
Mzee wako alikuwa mtu wa kunyoosha mistari ndio maana maisha yenu yamekuwa ya kawaida na ndivyo inavyokuwa siku zote ila wewe usijali shukuru na ujivunie kwa chochote alichojitahidi mzee wenu hadi kufikia hapo ulipo sasa.

Usiogope/usitishike kwa mambo madogo ya mpito
 
wapo watanzania wenye private jets.. ila bado i find if hard kuamini hiyo picha mbona inaonekana fake kabisa
 
Anajulikana kama Kinje mtoto wa mwanasiasa mkongwe nchini Mzee Kingunge akiwa na familia yake kabla ya kuruka katika ndege yao binafsi kama wanavyoonekana kwenye picha.

Naomba wafike salama maana injini kama mbovu vile hehehe.

Hivi kumbe ukikodisha ndege inakua ni ya kwako?
 
hivi Flight Link sio chartered one? ? nauliza tu...
na kwani hata mie nikiwa na vijisenti vyangu kwan siwez kuikodi?

Mkuu uko sawa kabisa...........hi ni kampuni inayohusika na biashara ya kukodisha ndege........huoni hata MZEE wa HA HA HA HA HA HA hajaandika ya kwake,,,,,,,,,,, jamaa kakodisha tu kwa bei zao mbona hata wauza mitumba wa kariakoo wanaweza kodisha
 
Tuache upotoshaji hiyo ni ndege ya shirika ya Flightlink Air (angalia picha), ila alikodi kama private kitu ambacho kinafanyika mara kwa mara na baadhi ya watu. Hela anazo ila tusimsingizie na nyingine za uongo, by the way hela zenyewe watuibia sisi na bado ndio tunakuwa wa kwanza kuwasifia.

jet.JPG
 
Mzee wako alikuwa mtu wa kunyoosha mistari ndio maana maisha yenu yamekuwa ya kawaida na ndivyo inavyokuwa siku zote ila wewe usijali shukuru na ujivunie kwa chochote alichojitahidi mzee wenu hadi kufikia hapo ulipo sasa.

Usiogope/usitishike kwa mambo madogo ya mpito
Maneno yako Daima yatabaki kwenye kumbukumbu zangu leo Mkuu nikija Bongo lazima nikutafute nikitoka uku kwenye Brazuka.
 
Mbona FlightLink ni Kampuni ya ndege na ina muda kasi kwenye Operations wana Chartered na Scheduled Flights na wana routes za sehem nyingi tu za Nchi,ikiwemo Zanzibara,Arusha,Dar nk?
Mtu yoyote anaweza kukodi na sio lazima Flightlink.
Sasa heading na maelezo hayafanani kabisaaa.Kila kitu siasa tu jamani.
Hembu kaeni maeneo au ulizeni watu wa Airports mjue ni watanzania wangapi wanakodi ndege kwa siku na ni watanzania wa kipato cha kawaida tu.
Wapo wengi sana,kwa uzoefu wangu wa hapa Zanzibar nikwamba naona wengi sana tu wanakodi private Charters.
Sijui ulikuwa unamaana gani ya uandikaji wa hii post,ila nahisi uelewa mdogo wa mambo ya Airlines.
 
Hii ndege mali ya FLIGHTLINK sio mali yake. Sema amekodisha tu.
 
bongo safi sana jama.
fisadi ndio anashangiliwa!!!
 
jamani hiyo ndegee amekodi hajanunua soma hapo inachata la flightlink kampuni yenye private jet tanzania za kukodi. mleta mada ana umbeya.
 
jamani hiyo ndegee amekodi hajanunua soma hapo inachata la flightlink kampuni yenye private jet tanzania za kukodi. mleta mada ana umbeya.

Hii amekodi ila kununua napo anaweza mana c latest sana hiyo ndege kwa pesa za bwiii anaweza
 
Mleta uzi angalia sana,Viroba na Maharage sio mwake.
Ukileta uzi ujipange sana,inaonekana hata mambo ya ndege huyajui.
Unajua mtu akikodi basi amenunua,Pole sana.
Jua kwamba unaweza kuwa na chini ya laki tatu na nusu tu ukakodi Ndege ya 5 - 7 Seater kuja Zanzibar na familia yako.
 
Back
Top Bottom