Kim Jo Ngil
Member
- Jan 3, 2014
- 45
- 17
- Thread starter
- #41
Mleta uzi angalia sana,Viroba na Maharage sio mwake.
Ukileta uzi ujipange sana,inaonekana hata mambo ya ndege huyajui.
Unajua mtu akikodi basi amenunua,Pole sana.
Jua kwamba unaweza kuwa na chini ya laki tatu na nusu tu ukakodi Ndege ya 5 - 7 Seater kuja Zanzibar na familia yako.
Wewe ndio uache viroba ndege ya nani unakodi kwa laki 3? Ya baba yako?
Huyo jamaa alikuwa anaenda znz kaona ndee imepaki ikifanyiwa matengenezo akapiga picha.