AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
daaaah umaskini huu ndege naziona kwenye runinga tuu
Duu
We acha tu mkuu
daaaah umaskini huu ndege naziona kwenye runinga tuu
Lakini hii ndege ni ya kampuni ya flightlink labda kakodi
Wewe ndio uache viroba ndege ya nani unakodi kwa laki 3? Ya baba yako?
Huyo jamaa alikuwa anaenda znz kaona ndee imepaki ikifanyiwa matengenezo akapiga picha.
Ndege nyingine kwenye mabawa kumeandikwa 'don't step on this'. Sasa hao wameegemea na kukalia hilo bawa si wanajitafutia balaa maanake likibonyea kidogo tu flying yake ni shida, na laweza kuipeleka ndege hasikopenda rubani. Edge ya wings pia haitaki disturbance hata kidogo.
Hii ndege ni skrepa huoni hata engene imekongolewa, watoto kurukaruka juu sawa tu, ila hii ya watoto kukaa juu ya bonet washauri wasikae juu ya voxy wanaweza jikuta wametumbukia ndani.
Sasa kama huyu ni hivi tu rizimoko si balaa!!!!Sembe jaman sembe via magogoni watu wanakula bata batwani....
Hii ndege ni ya kampuni ya FLIGHT LINK au labda k ndio mmiliki wa hii kampuni
daaaah umaskini huu ndege naziona kwenye runinga tuu
Hii ndege mali ya FLIGHTLINK sio mali yake. Sema amekodisha tu.