Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,533
- 1,936
Mleta uzi angalia sana,Viroba na Maharage sio mwake.
Ukileta uzi ujipange sana,inaonekana hata mambo ya ndege huyajui.
Unajua mtu akikodi basi amenunua,Pole sana.
Jua kwamba unaweza kuwa na chini ya laki tatu na nusu tu ukakodi Ndege ya 5 - 7 Seater kuja Zanzibar na familia yako.
Mkuu jamaa alitaka kupima upepo kujua watu wanamzungumziaje mzee wa kienyeji! Na pia kujua kama watu wanauelewa akasahau kuwa hapa n GT, sasa ukijumlisha na viloba alikuwa haoni vyema.