Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 743
Maelezo yako ni Mswano, lakini, naomba ueleze maana ya WIVU WA KIKE au ukishindwa kutoa maelezo yenye mshiko,FUTA usemi wako na omba Radhi kwa Dada, Mama na Shangazi zetu.
Acheni wivu wa kike, kila kijana mwenye pesa anauza sembe, hata uhakika hakuna wengi wanafata upepo tu kwa sababu umeona jamaa kaandika sembe,
Hivi nchi kama Tz ilivyojaa fursa za biashara iweje isiwe na matajiri vijana,? Tatizo lenu ni mitaji tu kwa nchi kama yetu ukiweza kumiliki mtaji mdogo kiasi fulani kwa muda mfupi sana unaweza kuwa milionea, fursa ziko wazi fanyeni kazi acheni wivu wa kike