Habari kwenu wana jamii forum, mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha mtakatifu Augustino Tanzania. Nimeanzisha fans page kwa facebook ambayo ni 'YOUTH MOVEMENT IN TANZANIA' na pia nilikua nataka kuiendeleza hii iwe social community yenye malengo hapa Tanzania kwa ajiri ya vijana na pia iwe kama NGO's hapo badae. So kama una idea yoyote tafadhali nitumie kwa hii email mojawapo (haddnan@gmail.com,,haddynan@ovi.com) ahsanteni sana.