MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Bas Diamond in muajiri mkubwa hapa nchini baada ya serikaliNipo hapa kifesi wacha niwapatie kwa uchache.
DIAMND =Msanii pia ndio mmiliki wa WCB.
Romy =DJ pia ni msaidizi wa shughuli za WCB.
Q - boy = Disgner, Anadili na masuala yote ya viwalo vya WCB.
Sallam = Manager wa DIAMOND,lakini sometimes anahusika na wasanii wote.
Babu Tale = Manager.
Felah =Manager.
Ricado Momo = Manager wa Harmonize.
Kame boy = Manager wa Rayvanny.
Harmonize = msanii.
Rayvanny = msanii.
Rich mavoko = msanii.
Queen Darlin = Msanii.
Almasimzambele = ?????
Tuddy Tomas = Sound injinia wa bendi,Producer wa DIAMOND.
Pia wapo.
Dancers si chini ya 12 - 14, DIAMOND wake 4 -mara nyingine anatumia 6, Harmonize 2 - mara nyingine anatumia 4, Ray 2 na rich 2.
Photographer/s na Videographer/s = hawapungui 4.
Lizer clasic = Wasafi record producer
Wapiga vyombo wa bendi wasiopungua 5-6.
karani.1
wapishi = 2-3.
walinzi =2.
Hawa ni kwa uchache na kwa haraka haraka,kuna uwezekano wapo zaidi ya hivo.