lushalila
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 283
- 107
nahodha wa chombo hukaa nyuma kweli,ila hutizama chombo kinaloelekea na si kinakotoka hivyo hapo nahodja ni jip namba moja.1. Mcheki nahodha wa chombo, anapiga vipi makasia? Kwa staili yake chombo hakiwezi kusonga mbele.
2. Mcheki kichwa, yeye anajikinga na mwavuli bila kujua hatari ya maji yanayoingia chomboni ni kubwa zaidi ya maji anayozuia na mwavuli.
3. Mcheki fasta fasta, muda si mrefu pumzi itamwishia maana matundu ni mengi naye anafanya kazi ya mtu mmoja tu.