nipe A-B-C mkuu kama unaijua..Njoo Dsm nyuma ya mpingo house miaka mingi walikuwa pale
sijajua mkuu, maana ata website hawana kabisa kiongoziInajihusisha na shughuli gani
google iyo kampuni haina website mkuu.Njoo Dsm keko mwanga,au ingia google mzee
ndio maana nataka kujua mkuu.Dunia imebadilika, nakutahadharisha kuwa makini zaidi ya unavyo fikiria, wimbi la utapeli limekuwa kubwa mno usije kurudi Sitalike unalia lia tena kwa kuchangiwa nauli na wasamaria wema.
Habarini ndugu zangu, naomba kujua hii kampuni TESE & TECHNO ENGINEER japo kwa undani ili niweze kwenda maana wamenipigia simu niende kwenye interview na mimi nipo KATAVI KWA SASA, naombeni msaada wenu wakuu niijue iyo kampuni ilipo..