Tanwise
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 466
- 1,031
Kuzitaja namba huwa zinaleta utata kiasi kwamba wakati mwingine ni kituko.mfano MTU anasema laki kumi.
Ili tuende sawa unataja namba na mwingine anaendelea ulipoishia ili kuona mwisho wa kutamka hizi namba..
Kwa mfano
(1) moja
(2)mbili
(3)tatu
(4)NNE
.
.
.
.
Mpaka tujue IPI namba ya mwisho
Ili tuende sawa unataja namba na mwingine anaendelea ulipoishia ili kuona mwisho wa kutamka hizi namba..
Kwa mfano
(1) moja
(2)mbili
(3)tatu
(4)NNE
.
.
.
.
Mpaka tujue IPI namba ya mwisho