Mwenye huruma hanaga bahati∆

Mwenye huruma hanaga bahati∆

Methyl phenol

Senior Member
Joined
Jul 22, 2021
Posts
184
Reaction score
282
Kila msemo au methali au kitendawili huwa kina maana yake na ufafanuzi wake pia...

ila Kuna huu msemo unasema mwenye huruma hanaga bahati.. huwa siuelew kabisa maana yake kama kuna mtu anajua maana yake au ufafanuzi wake wowote ule atiririke ikiwezekana na mifano juu
Msaada Apo ninjaz
 
Katika huu ulimwengu wa sasa ukiwa mwema sana watu watakutumia tu kwa maslahi yao binafsi tu. Unaweza kujikuta matatizoni kwa huruma yako.

True Story kuna jirani yangu ni dereva bodaboda alishawahi jikuta matatizoni kwa huruma yake. Alikua anatoka asubuhi kuelekea kijiweni akaona mwanafunzi akampa lift, bahati mbaya akapata ajali njiani wote wakaumia. Alipitia katika kipindi kigumu kutokana na varangati wazazi wa yule mtoto waliomletea.
 
Mwenye huruma hua hafanikiwi.hukuona jiwe anakwapua pesa za korosho??au ulikua nje ya nchi kimasomo
 
Katika huu ulimwengu wa sasa ukiwa mwema sana watu watakutumia tu kwa maslahi yao binafsi tu. Unaweza kujikuta matatizoni kwa huruma yako.

True Story kuna jirani yangu ni dereva bodaboda alishawahi jikuta matatizoni kwa huruma yake. Alikua anatoka asubuhi kuelekea kijiweni akaona mwanafunzi akampa lift, bahati mbaya akapata ajali njiani wote wakaumia. Alipitia katika kipindi kigumu kutokana na varangati wazazi wa yule mtoto waliomletea.
Balaa
 
Nadhani hata kwenye mahusiano. Ukiwa na huruma na ubinaadamu sana, hasa kama wewe ni -me, utaponyokwa au kukataliwa kila wakati, watasema, AMEPOA SANA.

Ukiwa katili, mfumo dume, ngumi mkononi, kubwa kuliko vyote, ukiwa MTEMBEZA mkia maarufu, basi watajipanga foleni na kupigana watapigana, HAKUNA gono, ngoma wala mimba.

Mstaarabu moja akijaribu tu, kila kitu kinasoma.
 
Nadhani hata kwenye mahusiano. Ukiwa na huruma na ubinaadamu sana, hasa kama wewe ni -me, utaponyokwa au kukataliwa kila wakati, watasema, AMEPOA SANA.

Ukiwa katili, mfumo dume, ngumi mkononi, kubwa kuliko vyote, ukiwa MTEMBEZA mkia maarufu, basi watajipanga foleni na kupigana watapigana, HAKUNA gono, ngoma wala mimba.

Mstaarabu moja akijaribu tu, kila kitu kinasoma.
Aaah sure asee
 
FB_IMG_1635946672208.jpg
 
Hakunaga msemo wa hvo, Ila Kwa kiasi inaweza ikawa kweli kulingana na mtazamo wa mtu binafsi, Japo sikuzote tunasema roho mbaya haijengi ukitaka kufanikiwa unapaswa uwe na Roho nzuri yakusaidia maana asaidiae husaidiwa pia "Kuna huu usemi unasema Muosha huoshwa" Ishi hapa
 
Back
Top Bottom