Hiyo dili mtafute Shigongo na magazeti yake ya udaku!Habari ninayo ila naiuza....
Akifa ndo mtaweka kwenye daily news...?? Ndo wale wale wa kuwashiti wagonjwa lakini siku wakifa mnaleta makamera ya video na majeneza ya mamilioni.............Hiyo dili mtafute Shigongo na magazeti yake ya udaku!
mbona jana nilimwona bar